Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

23,056 Aufrufe • vor 5 Monaten •via X (Twitter)

34 Kommentare

Profilbild von Pst Frank
Pst Frankvor 5 Monaten

@kilepi_tweve Kwa speech hii,,, mboga mboga na Ngogwe lazma wakae kikao cha HILA, ili kumtafuta huyu mwamba na kutengeneza mazingira ya kuokoa jahazi lao lililofikia mwisho,,,, Aibu kubwa inakuja.,, ni suala la Muda.

Profilbild von Gaidi Mzalendo🕊️
Gaidi Mzalendo🕊️vor 5 Monaten

Huyu mwanachadema na mwanachama wetu mpya tunaomba apewe ulinzi wa kutosha maana kaongea ukweli mtupu ili watekaji na wauwaji wasije wakamteka

Profilbild von Kadogo551
Kadogo551vor 5 Monaten

Kaka Heche wahuni wa @SuluhuSamia wanakuwinda Tulishagundua kwamba Samia ana kikundi hatari cha kigaidi so kuwa makini mtumishi

Profilbild von Mr. Magnifico
Mr. Magnificovor 5 Monaten

M/Kiti hawa wananchi washikilie jenga ngome huko ili waamini CDM ni chama cha ukombozi

Profilbild von HAKI HUJENGA AMANI
HAKI HUJENGA AMANIvor 5 Monaten

@kisuda_adam Mh. Makamu mwenyekiti kama ulivosikia maelezo y huyo mjumbe wa ACT wazalendo wa mkoa wakilwa ndivyo ilivyo inchi nzima.mimi nashauli wakati huu ambapo chama kimewekewa vizuizi haramu iundwe timu yasiri kwaajili ya kutengeneza wanachama na kuwakadia kadi ili kuendelea kujiimalish

Profilbild von dechimavasco haonga
dechimavasco haongavor 5 Monaten

Wanasema chadema imekufa,,acha waendelee kujidanganya

Profilbild von MwanaFalsafa_🇹🇿
MwanaFalsafa_🇹🇿vor 5 Monaten

Heche taifa linakutegemea mzee, huyo jamaa kaongea kwa hisia sana

Profilbild von Toure
Tourevor 5 Monaten

@lifeofmshaba Abduli na samia Wakiona hivi wanaumia na wanaweza mateka huyu baba! Na wewe pia mh

Profilbild von Nzalang Nacional
Nzalang Nacionalvor 5 Monaten

Dalali wa Kigoma kawachelewesha sana hawa

Profilbild von bwakila
bwakilavor 5 Monaten

@lifeofmshaba Nikajua rula imenyooka kumbe huyu jamaa kanyooka zaidi

Profilbild von Charles Mwanyanje
Charles Mwanyanjevor 5 Monaten

@NamdiAzikiwe CHADEMA imebeba matumaini makubwa sana ya kila mtanzania mwenye kiu ya mabadiliko ( Haki na maisha bora ) please viongozi na wanachama msije kucompromise! Imani yetu kwenu ni kubwa sana na tuna imani mtatuvusha kwa uweza wa Mungu! Inshallah 🙏✊✌ #AlutaContinua #Peoooooooooople

Profilbild von Chunya county
Chunya countyvor 5 Monaten

Nchi hii watu sahihi wakuongozwa wamejaa tele kilichokosekana ni watu sahihi wakuwaongoza let us fight again and again tutalikomboa taifa letu.

Profilbild von muuza mbao tz
muuza mbao tzvor 5 Monaten

Huyu jamaa ukimuangalia tu utagundua kua mtu makini sana

Profilbild von Vailethy Shayo
Vailethy Shayovor 5 Monaten

Hongera makamu Mwenyekiti,tuko na wewe mpaka kieleweke

Profilbild von Kassala
Kassalavor 5 Monaten

Ndg. Heche, this we can assure you, CHADEMA hamuwezi kuibomoa @ACTwazalendo kanda ya Kusini. Kama ambavyo mliwahi kuthubutu kupeleka program kabambe yenye gharama za mamilioni ya pesa (operesheni chama ni msingi) na mkafeli, ndivyo mlivyofeli na kufeli hata sasa. Mark my words!😀

Profilbild von simego
simegovor 5 Monaten

Hakuna mmakonde mshamba

Profilbild von Makuru
Makuruvor 5 Monaten

Na mimi ushauri wangu kwako kaka JW Heche Nilipata bahati ya kukuona kwenye mkutano wa kampeni za uchaguzi mdogo huko Serengeti 2011/12 hivi na tangu hapo nilikuamini na nikaiamini CHADEMA tangu hapo nikawa mfuasi wa chama hili na 2015 nilipiga kura yangu ya kwanza. Tunza imani

Profilbild von Daniel Samson
Daniel Samsonvor 5 Monaten

@lifeofmshaba Awe makini wanaweza wakamdaka. Hawapendi Logic, critical thinking, think-tank.

Profilbild von KIDUKU OFSA NGIRI
KIDUKU OFSA NGIRIvor 5 Monaten

Kanyooka Kama Mkia Wa Ngiri

Profilbild von Angry Citizen
Angry Citizenvor 5 Monaten

@mackphason This is so deep!

Profilbild von Babu lohaa
Babu lohaavor 5 Monaten

Cchadema ndo chama pekee ambacho ata Mungu anajua kinapigania haki za maskini wa nchi hii.akuna chama kitafikia chama cha chadema. Marehemu baba yangu alishaniambia chadema ni chama sio blah blah

Profilbild von MsumenoMkali15🇹🇿.
MsumenoMkali15🇹🇿.vor 5 Monaten

CDM my big party.

Profilbild von The Bullet
The Bulletvor 5 Monaten

@RahmaMwita takbiiiiiiiiir.....!!?

Profilbild von Gidison Marco
Gidison Marcovor 5 Monaten

Safi sanaaaa

Profilbild von Joblube4
Joblube4vor 5 Monaten

@Kazingumu Kijani wangekuwa na akili wangesoma alama za nyakati kulinda amani nchi hii kwa kutenda haki, kutupatia mfumo wa usawa Katiba Mpya kabla ya kulazimishwa. Ila jinsi wanavyologana sijui sioni mwanga kipitia Kijani🙆‍♂️🙆‍♂️

Profilbild von Mzee Mwanakijiji
Mzee Mwanakijijivor 5 Monaten

@LembrusMchome Kuna ujumbe wako huku matako wewe

Profilbild von Julius Joseph Massabo.
Julius Joseph Massabo.vor 5 Monaten

Wenzetu Mlienda Msibani kupiga siasa Aloooo.

Profilbild von Thadei Mhabuka
Thadei Mhabukavor 5 Monaten

Asante sana kwakweli.

Profilbild von Asombwile David
Asombwile Davidvor 5 Monaten

Una deni kaka mkubwa Mungu akuongoze CHADEMA sio chama tena bali ni imani

Profilbild von Jamsheed Hemed
Jamsheed Hemedvor 5 Monaten

Maashaallah. Hizi nondo zimeenda shule, haswaa. Watu wa Kilwa wanaitaka Chadema, na wanaamini itawavusha kutoka hapa tulipokwama. Ni wakati sahihi wa kufungua Tawi na kujenga ofisi za Chadema, Kilwa. Vijana waende wakawaeneze Sera za Chadema. Na ombi lao la wanasheria lisipuuzwe!

Profilbild von Lushona M
Lushona Mvor 5 Monaten

Kaka naona umeenda kufanya siasa msibani wakati sisi tumefiwa

Profilbild von Mrisho Abdul
Mrisho Abdulvor 5 Monaten

Nimeamini chadema ni mpango wa mungu

Profilbild von Dr. philosopher 🩺
Dr. philosopher 🩺vor 5 Monaten

Aongezewe ulinzi tafadhali

Profilbild von Paulo Fonyoke
Paulo Fonyokevor 5 Monaten

Ukomboz unakaribia wala siyo mbali nuru itawaangazia wana Kilwa.

Ähnliche Videos