Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Asante sana

23,056 просмотров • 5 месяцев назад •via X (Twitter)

Комментарии: 34

Фото профиля Pst Frank
Pst Frank5 месяцев назад

@kilepi_tweve Kwa speech hii,,, mboga mboga na Ngogwe lazma wakae kikao cha HILA, ili kumtafuta huyu mwamba na kutengeneza mazingira ya kuokoa jahazi lao lililofikia mwisho,,,, Aibu kubwa inakuja.,, ni suala la Muda.

Фото профиля Gaidi Mzalendo🕊️
Gaidi Mzalendo🕊️5 месяцев назад

Huyu mwanachadema na mwanachama wetu mpya tunaomba apewe ulinzi wa kutosha maana kaongea ukweli mtupu ili watekaji na wauwaji wasije wakamteka

Фото профиля Kadogo551
Kadogo5515 месяцев назад

Kaka Heche wahuni wa @SuluhuSamia wanakuwinda Tulishagundua kwamba Samia ana kikundi hatari cha kigaidi so kuwa makini mtumishi

Фото профиля Mr. Magnifico
Mr. Magnifico5 месяцев назад

M/Kiti hawa wananchi washikilie jenga ngome huko ili waamini CDM ni chama cha ukombozi

Фото профиля HAKI HUJENGA AMANI
HAKI HUJENGA AMANI5 месяцев назад

@kisuda_adam Mh. Makamu mwenyekiti kama ulivosikia maelezo y huyo mjumbe wa ACT wazalendo wa mkoa wakilwa ndivyo ilivyo inchi nzima.mimi nashauli wakati huu ambapo chama kimewekewa vizuizi haramu iundwe timu yasiri kwaajili ya kutengeneza wanachama na kuwakadia kadi ili kuendelea kujiimalish

Фото профиля dechimavasco haonga
dechimavasco haonga5 месяцев назад

Wanasema chadema imekufa,,acha waendelee kujidanganya

Фото профиля MwanaFalsafa_🇹🇿
MwanaFalsafa_🇹🇿5 месяцев назад

Heche taifa linakutegemea mzee, huyo jamaa kaongea kwa hisia sana

Фото профиля Toure
Toure5 месяцев назад

@lifeofmshaba Abduli na samia Wakiona hivi wanaumia na wanaweza mateka huyu baba! Na wewe pia mh

Фото профиля Nzalang Nacional
Nzalang Nacional5 месяцев назад

Dalali wa Kigoma kawachelewesha sana hawa

Фото профиля bwakila
bwakila5 месяцев назад

@lifeofmshaba Nikajua rula imenyooka kumbe huyu jamaa kanyooka zaidi

Фото профиля Charles Mwanyanje
Charles Mwanyanje5 месяцев назад

@NamdiAzikiwe CHADEMA imebeba matumaini makubwa sana ya kila mtanzania mwenye kiu ya mabadiliko ( Haki na maisha bora ) please viongozi na wanachama msije kucompromise! Imani yetu kwenu ni kubwa sana na tuna imani mtatuvusha kwa uweza wa Mungu! Inshallah 🙏✊✌ #AlutaContinua #Peoooooooooople

Фото профиля Chunya county
Chunya county5 месяцев назад

Nchi hii watu sahihi wakuongozwa wamejaa tele kilichokosekana ni watu sahihi wakuwaongoza let us fight again and again tutalikomboa taifa letu.

Фото профиля muuza mbao tz
muuza mbao tz5 месяцев назад

Huyu jamaa ukimuangalia tu utagundua kua mtu makini sana

Фото профиля Vailethy Shayo
Vailethy Shayo5 месяцев назад

Hongera makamu Mwenyekiti,tuko na wewe mpaka kieleweke

Фото профиля Kassala
Kassala5 месяцев назад

Ndg. Heche, this we can assure you, CHADEMA hamuwezi kuibomoa @ACTwazalendo kanda ya Kusini. Kama ambavyo mliwahi kuthubutu kupeleka program kabambe yenye gharama za mamilioni ya pesa (operesheni chama ni msingi) na mkafeli, ndivyo mlivyofeli na kufeli hata sasa. Mark my words!😀

Фото профиля simego
simego5 месяцев назад

Hakuna mmakonde mshamba

Фото профиля Makuru
Makuru5 месяцев назад

Na mimi ushauri wangu kwako kaka JW Heche Nilipata bahati ya kukuona kwenye mkutano wa kampeni za uchaguzi mdogo huko Serengeti 2011/12 hivi na tangu hapo nilikuamini na nikaiamini CHADEMA tangu hapo nikawa mfuasi wa chama hili na 2015 nilipiga kura yangu ya kwanza. Tunza imani

Фото профиля Daniel Samson
Daniel Samson5 месяцев назад

@lifeofmshaba Awe makini wanaweza wakamdaka. Hawapendi Logic, critical thinking, think-tank.

Фото профиля KIDUKU OFSA NGIRI
KIDUKU OFSA NGIRI5 месяцев назад

Kanyooka Kama Mkia Wa Ngiri

Фото профиля Angry Citizen
Angry Citizen5 месяцев назад

@mackphason This is so deep!

Фото профиля Babu lohaa
Babu lohaa5 месяцев назад

Cchadema ndo chama pekee ambacho ata Mungu anajua kinapigania haki za maskini wa nchi hii.akuna chama kitafikia chama cha chadema. Marehemu baba yangu alishaniambia chadema ni chama sio blah blah

Фото профиля MsumenoMkali15🇹🇿.
MsumenoMkali15🇹🇿.5 месяцев назад

CDM my big party.

Фото профиля The Bullet
The Bullet5 месяцев назад

@RahmaMwita takbiiiiiiiiir.....!!?

Фото профиля Gidison Marco
Gidison Marco5 месяцев назад

Safi sanaaaa

Фото профиля Joblube4
Joblube45 месяцев назад

@Kazingumu Kijani wangekuwa na akili wangesoma alama za nyakati kulinda amani nchi hii kwa kutenda haki, kutupatia mfumo wa usawa Katiba Mpya kabla ya kulazimishwa. Ila jinsi wanavyologana sijui sioni mwanga kipitia Kijani🙆‍♂️🙆‍♂️

Фото профиля Mzee Mwanakijiji
Mzee Mwanakijiji5 месяцев назад

@LembrusMchome Kuna ujumbe wako huku matako wewe

Фото профиля Julius Joseph Massabo.
Julius Joseph Massabo.5 месяцев назад

Wenzetu Mlienda Msibani kupiga siasa Aloooo.

Фото профиля Thadei Mhabuka
Thadei Mhabuka5 месяцев назад

Asante sana kwakweli.

Фото профиля Asombwile David
Asombwile David5 месяцев назад

Una deni kaka mkubwa Mungu akuongoze CHADEMA sio chama tena bali ni imani

Фото профиля Jamsheed Hemed
Jamsheed Hemed5 месяцев назад

Maashaallah. Hizi nondo zimeenda shule, haswaa. Watu wa Kilwa wanaitaka Chadema, na wanaamini itawavusha kutoka hapa tulipokwama. Ni wakati sahihi wa kufungua Tawi na kujenga ofisi za Chadema, Kilwa. Vijana waende wakawaeneze Sera za Chadema. Na ombi lao la wanasheria lisipuuzwe!

Фото профиля Lushona M
Lushona M5 месяцев назад

Kaka naona umeenda kufanya siasa msibani wakati sisi tumefiwa

Фото профиля Mrisho Abdul
Mrisho Abdul5 месяцев назад

Nimeamini chadema ni mpango wa mungu

Фото профиля Dr. philosopher 🩺
Dr. philosopher 🩺5 месяцев назад

Aongezewe ulinzi tafadhali

Фото профиля Paulo Fonyoke
Paulo Fonyoke5 месяцев назад

Ukomboz unakaribia wala siyo mbali nuru itawaangazia wana Kilwa.

Похожие видео