Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Asante sana
23,056 görüntüleme • 5 ay önce •via X (Twitter)
34 Yorum

@kilepi_tweve Kwa speech hii,,, mboga mboga na Ngogwe lazma wakae kikao cha HILA, ili kumtafuta huyu mwamba na kutengeneza mazingira ya kuokoa jahazi lao lililofikia mwisho,,,, Aibu kubwa inakuja.,, ni suala la Muda.

Huyu mwanachadema na mwanachama wetu mpya tunaomba apewe ulinzi wa kutosha maana kaongea ukweli mtupu ili watekaji na wauwaji wasije wakamteka

Kaka Heche wahuni wa @SuluhuSamia wanakuwinda Tulishagundua kwamba Samia ana kikundi hatari cha kigaidi so kuwa makini mtumishi

M/Kiti hawa wananchi washikilie jenga ngome huko ili waamini CDM ni chama cha ukombozi

@kisuda_adam Mh. Makamu mwenyekiti kama ulivosikia maelezo y huyo mjumbe wa ACT wazalendo wa mkoa wakilwa ndivyo ilivyo inchi nzima.mimi nashauli wakati huu ambapo chama kimewekewa vizuizi haramu iundwe timu yasiri kwaajili ya kutengeneza wanachama na kuwakadia kadi ili kuendelea kujiimalish

Wanasema chadema imekufa,,acha waendelee kujidanganya

Heche taifa linakutegemea mzee, huyo jamaa kaongea kwa hisia sana

@lifeofmshaba Abduli na samia Wakiona hivi wanaumia na wanaweza mateka huyu baba! Na wewe pia mh

Dalali wa Kigoma kawachelewesha sana hawa

@lifeofmshaba Nikajua rula imenyooka kumbe huyu jamaa kanyooka zaidi

@NamdiAzikiwe CHADEMA imebeba matumaini makubwa sana ya kila mtanzania mwenye kiu ya mabadiliko ( Haki na maisha bora ) please viongozi na wanachama msije kucompromise! Imani yetu kwenu ni kubwa sana na tuna imani mtatuvusha kwa uweza wa Mungu! Inshallah 🙏✊✌ #AlutaContinua #Peoooooooooople

Nchi hii watu sahihi wakuongozwa wamejaa tele kilichokosekana ni watu sahihi wakuwaongoza let us fight again and again tutalikomboa taifa letu.

Huyu jamaa ukimuangalia tu utagundua kua mtu makini sana

Hongera makamu Mwenyekiti,tuko na wewe mpaka kieleweke

Ndg. Heche, this we can assure you, CHADEMA hamuwezi kuibomoa @ACTwazalendo kanda ya Kusini. Kama ambavyo mliwahi kuthubutu kupeleka program kabambe yenye gharama za mamilioni ya pesa (operesheni chama ni msingi) na mkafeli, ndivyo mlivyofeli na kufeli hata sasa. Mark my words!😀

Hakuna mmakonde mshamba

Na mimi ushauri wangu kwako kaka JW Heche Nilipata bahati ya kukuona kwenye mkutano wa kampeni za uchaguzi mdogo huko Serengeti 2011/12 hivi na tangu hapo nilikuamini na nikaiamini CHADEMA tangu hapo nikawa mfuasi wa chama hili na 2015 nilipiga kura yangu ya kwanza. Tunza imani

@lifeofmshaba Awe makini wanaweza wakamdaka. Hawapendi Logic, critical thinking, think-tank.

Kanyooka Kama Mkia Wa Ngiri

@mackphason This is so deep!

Cchadema ndo chama pekee ambacho ata Mungu anajua kinapigania haki za maskini wa nchi hii.akuna chama kitafikia chama cha chadema. Marehemu baba yangu alishaniambia chadema ni chama sio blah blah

CDM my big party.

@RahmaMwita takbiiiiiiiiir.....!!?

Safi sanaaaa

@Kazingumu Kijani wangekuwa na akili wangesoma alama za nyakati kulinda amani nchi hii kwa kutenda haki, kutupatia mfumo wa usawa Katiba Mpya kabla ya kulazimishwa. Ila jinsi wanavyologana sijui sioni mwanga kipitia Kijani🙆♂️🙆♂️

@LembrusMchome Kuna ujumbe wako huku matako wewe

Wenzetu Mlienda Msibani kupiga siasa Aloooo.

Asante sana kwakweli.

Una deni kaka mkubwa Mungu akuongoze CHADEMA sio chama tena bali ni imani

Maashaallah. Hizi nondo zimeenda shule, haswaa. Watu wa Kilwa wanaitaka Chadema, na wanaamini itawavusha kutoka hapa tulipokwama. Ni wakati sahihi wa kufungua Tawi na kujenga ofisi za Chadema, Kilwa. Vijana waende wakawaeneze Sera za Chadema. Na ombi lao la wanasheria lisipuuzwe!

Kaka naona umeenda kufanya siasa msibani wakati sisi tumefiwa

Nimeamini chadema ni mpango wa mungu

Aongezewe ulinzi tafadhali

Ukomboz unakaribia wala siyo mbali nuru itawaangazia wana Kilwa.

