Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

23,056 görüntüleme • 5 ay önce •via X (Twitter)

34 Yorum

Pst Frank profil fotoğrafı
Pst Frank5 ay önce

@kilepi_tweve Kwa speech hii,,, mboga mboga na Ngogwe lazma wakae kikao cha HILA, ili kumtafuta huyu mwamba na kutengeneza mazingira ya kuokoa jahazi lao lililofikia mwisho,,,, Aibu kubwa inakuja.,, ni suala la Muda.

Gaidi Mzalendo🕊️ profil fotoğrafı
Gaidi Mzalendo🕊️5 ay önce

Huyu mwanachadema na mwanachama wetu mpya tunaomba apewe ulinzi wa kutosha maana kaongea ukweli mtupu ili watekaji na wauwaji wasije wakamteka

Kadogo551 profil fotoğrafı
Kadogo5515 ay önce

Kaka Heche wahuni wa @SuluhuSamia wanakuwinda Tulishagundua kwamba Samia ana kikundi hatari cha kigaidi so kuwa makini mtumishi

Mr. Magnifico profil fotoğrafı
Mr. Magnifico5 ay önce

M/Kiti hawa wananchi washikilie jenga ngome huko ili waamini CDM ni chama cha ukombozi

HAKI HUJENGA AMANI profil fotoğrafı
HAKI HUJENGA AMANI5 ay önce

@kisuda_adam Mh. Makamu mwenyekiti kama ulivosikia maelezo y huyo mjumbe wa ACT wazalendo wa mkoa wakilwa ndivyo ilivyo inchi nzima.mimi nashauli wakati huu ambapo chama kimewekewa vizuizi haramu iundwe timu yasiri kwaajili ya kutengeneza wanachama na kuwakadia kadi ili kuendelea kujiimalish

dechimavasco haonga profil fotoğrafı
dechimavasco haonga5 ay önce

Wanasema chadema imekufa,,acha waendelee kujidanganya

MwanaFalsafa_🇹🇿 profil fotoğrafı
MwanaFalsafa_🇹🇿5 ay önce

Heche taifa linakutegemea mzee, huyo jamaa kaongea kwa hisia sana

Toure profil fotoğrafı
Toure5 ay önce

@lifeofmshaba Abduli na samia Wakiona hivi wanaumia na wanaweza mateka huyu baba! Na wewe pia mh

Nzalang Nacional profil fotoğrafı
Nzalang Nacional5 ay önce

Dalali wa Kigoma kawachelewesha sana hawa

bwakila profil fotoğrafı
bwakila5 ay önce

@lifeofmshaba Nikajua rula imenyooka kumbe huyu jamaa kanyooka zaidi

Charles Mwanyanje profil fotoğrafı
Charles Mwanyanje5 ay önce

@NamdiAzikiwe CHADEMA imebeba matumaini makubwa sana ya kila mtanzania mwenye kiu ya mabadiliko ( Haki na maisha bora ) please viongozi na wanachama msije kucompromise! Imani yetu kwenu ni kubwa sana na tuna imani mtatuvusha kwa uweza wa Mungu! Inshallah 🙏✊✌ #AlutaContinua #Peoooooooooople

Chunya county profil fotoğrafı
Chunya county5 ay önce

Nchi hii watu sahihi wakuongozwa wamejaa tele kilichokosekana ni watu sahihi wakuwaongoza let us fight again and again tutalikomboa taifa letu.

muuza mbao tz profil fotoğrafı
muuza mbao tz5 ay önce

Huyu jamaa ukimuangalia tu utagundua kua mtu makini sana

Vailethy Shayo profil fotoğrafı
Vailethy Shayo5 ay önce

Hongera makamu Mwenyekiti,tuko na wewe mpaka kieleweke

Kassala profil fotoğrafı
Kassala5 ay önce

Ndg. Heche, this we can assure you, CHADEMA hamuwezi kuibomoa @ACTwazalendo kanda ya Kusini. Kama ambavyo mliwahi kuthubutu kupeleka program kabambe yenye gharama za mamilioni ya pesa (operesheni chama ni msingi) na mkafeli, ndivyo mlivyofeli na kufeli hata sasa. Mark my words!😀

simego profil fotoğrafı
simego5 ay önce

Hakuna mmakonde mshamba

Makuru profil fotoğrafı
Makuru5 ay önce

Na mimi ushauri wangu kwako kaka JW Heche Nilipata bahati ya kukuona kwenye mkutano wa kampeni za uchaguzi mdogo huko Serengeti 2011/12 hivi na tangu hapo nilikuamini na nikaiamini CHADEMA tangu hapo nikawa mfuasi wa chama hili na 2015 nilipiga kura yangu ya kwanza. Tunza imani

Daniel Samson profil fotoğrafı
Daniel Samson5 ay önce

@lifeofmshaba Awe makini wanaweza wakamdaka. Hawapendi Logic, critical thinking, think-tank.

KIDUKU OFSA NGIRI profil fotoğrafı
KIDUKU OFSA NGIRI5 ay önce

Kanyooka Kama Mkia Wa Ngiri

Angry Citizen profil fotoğrafı
Angry Citizen5 ay önce

@mackphason This is so deep!

Babu lohaa profil fotoğrafı
Babu lohaa5 ay önce

Cchadema ndo chama pekee ambacho ata Mungu anajua kinapigania haki za maskini wa nchi hii.akuna chama kitafikia chama cha chadema. Marehemu baba yangu alishaniambia chadema ni chama sio blah blah

MsumenoMkali15🇹🇿. profil fotoğrafı
MsumenoMkali15🇹🇿.5 ay önce

CDM my big party.

The Bullet profil fotoğrafı
The Bullet5 ay önce

@RahmaMwita takbiiiiiiiiir.....!!?

Gidison Marco profil fotoğrafı
Gidison Marco5 ay önce

Safi sanaaaa

Joblube4 profil fotoğrafı
Joblube45 ay önce

@Kazingumu Kijani wangekuwa na akili wangesoma alama za nyakati kulinda amani nchi hii kwa kutenda haki, kutupatia mfumo wa usawa Katiba Mpya kabla ya kulazimishwa. Ila jinsi wanavyologana sijui sioni mwanga kipitia Kijani🙆‍♂️🙆‍♂️

Mzee Mwanakijiji profil fotoğrafı
Mzee Mwanakijiji5 ay önce

@LembrusMchome Kuna ujumbe wako huku matako wewe

Julius Joseph Massabo. profil fotoğrafı
Julius Joseph Massabo.5 ay önce

Wenzetu Mlienda Msibani kupiga siasa Aloooo.

Thadei Mhabuka profil fotoğrafı
Thadei Mhabuka5 ay önce

Asante sana kwakweli.

Asombwile David profil fotoğrafı
Asombwile David5 ay önce

Una deni kaka mkubwa Mungu akuongoze CHADEMA sio chama tena bali ni imani

Jamsheed Hemed profil fotoğrafı
Jamsheed Hemed5 ay önce

Maashaallah. Hizi nondo zimeenda shule, haswaa. Watu wa Kilwa wanaitaka Chadema, na wanaamini itawavusha kutoka hapa tulipokwama. Ni wakati sahihi wa kufungua Tawi na kujenga ofisi za Chadema, Kilwa. Vijana waende wakawaeneze Sera za Chadema. Na ombi lao la wanasheria lisipuuzwe!

Lushona M profil fotoğrafı
Lushona M5 ay önce

Kaka naona umeenda kufanya siasa msibani wakati sisi tumefiwa

Mrisho Abdul profil fotoğrafı
Mrisho Abdul5 ay önce

Nimeamini chadema ni mpango wa mungu

Dr. philosopher 🩺 profil fotoğrafı
Dr. philosopher 🩺5 ay önce

Aongezewe ulinzi tafadhali

Paulo Fonyoke profil fotoğrafı
Paulo Fonyoke5 ay önce

Ukomboz unakaribia wala siyo mbali nuru itawaangazia wana Kilwa.

Benzer Videolar