Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

B LEVO BAA.๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ FACT TUPU๐Ÿ‘‘

100,371 views โ€ข 1 year ago โ€ขvia X (Twitter)

11 Comments

BELINDA's profile picture
BELINDA1 year ago

Upuuzi katoa maoni au amekuja kuibeza simba Kama meneja wa uwanja akufungua geti yanga walikuwepo wanFnya nini uwanjani simba alitakiwa akataliawe na meneja na sio hao walinzi wa yanga Kingine baba levo anahamasisha kama nani ety yanga asicheze ukiwa chawa uwe n mpaka

Malalo Adam's profile picture
Malalo Adam1 year ago

Huyu japo hana taaluma ya uchambuzi lkn anawazidi wale waliojaa mashavu kina Oruma

Solar Heavy's profile picture
Solar Heavy1 year ago

take the journey

Nderumaki@gmail.com's profile picture

usilinganishe pamba na Derby, pamba ina influence gani?msitumie kichwa kma mfuniko wa shingo

SATIVA17's profile picture
SATIVA171 year ago

KOLO NI KOLO. Tangu lini ligi iliendeshwa kwa influence? Ligi inaendeshwa kwa kanuni. Kanuni mnazijua ndiomaana game ya PAMBA mlifanyiwa fujo ila kesho yake mkapeleka team. Hii game kwann hamjaleta team?

Mtani's profile picture
Mtani1 year ago

Pre match meeting si inakua asubuh ya siku ya match ama? Ni kwamba amechoma au mimi ndo sijui?? Au bas

willisaac๐Ÿ‘ฝ's profile picture
willisaac๐Ÿ‘ฝ1 year ago

Mechi itaitwa dabi ya mama na mtaleta timu tu mamae zenu

Lil Dee's profile picture
Lil Dee1 year ago

Walitaka tuzingatie Arusha, hakuna kingine hapa

Adloph's profile picture
Adloph1 year ago

2. Watu wanalinganisha mechi ambayo Yanga walileta timu muda muafaka saa 11 badala ya saa moja baada ya BODI YA LIGI kuhairisha mechi kinyume na sheria ili kuwapa favour wanasiasa waliokuwepo Bungeni wamalize bunge waangalie mechi ambapo TFF waliiingiza siasa kwenye mpira .....

M's profile picture
M1 year ago

Unasema kaongea fact wakati utumbo mtupu, Serikali inakabidhi uwanja kwa timu mwenyeji siku 1 kabla ya mechi husika hivyo yanga walikua na mamlaka nao pia pre match meeting haifanyiki siku moja kabla ya mechi ila hufanyika mapema siku ya mechi yenyewe.

Jumaah Salumu's profile picture
Jumaah Salumu1 year ago

Baba Levo, good sana ila bodi ya ligi kuu na TFF pia wizara yake haipo kimpira. Kama matukio kama haya alishatokea msimu huu na mechi zilichezwa, vizuri tu. Je mamlaka waliyatibuje ili asijitokeze tena, siasa kwenye mpira umetawala sio uweledi. We are looser.

Related Videos