Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

B LEVO BAA.🔥🔥🔥 FACT TUPU👑

100,378 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)

11 Kommentare

Profilbild von BELINDA
BELINDAvor 1 Jahr

Upuuzi katoa maoni au amekuja kuibeza simba Kama meneja wa uwanja akufungua geti yanga walikuwepo wanFnya nini uwanjani simba alitakiwa akataliawe na meneja na sio hao walinzi wa yanga Kingine baba levo anahamasisha kama nani ety yanga asicheze ukiwa chawa uwe n mpaka

Profilbild von Malalo Adam
Malalo Adamvor 1 Jahr

Huyu japo hana taaluma ya uchambuzi lkn anawazidi wale waliojaa mashavu kina Oruma

Profilbild von Solar Heavy
Solar Heavyvor 1 Jahr

take the journey

Profilbild von Nderumaki@gmail.com

usilinganishe pamba na Derby, pamba ina influence gani?msitumie kichwa kma mfuniko wa shingo

Profilbild von SATIVA17
SATIVA17vor 1 Jahr

KOLO NI KOLO. Tangu lini ligi iliendeshwa kwa influence? Ligi inaendeshwa kwa kanuni. Kanuni mnazijua ndiomaana game ya PAMBA mlifanyiwa fujo ila kesho yake mkapeleka team. Hii game kwann hamjaleta team?

Profilbild von Mtani
Mtanivor 1 Jahr

Pre match meeting si inakua asubuh ya siku ya match ama? Ni kwamba amechoma au mimi ndo sijui?? Au bas

Profilbild von willisaac👽
willisaac👽vor 1 Jahr

Mechi itaitwa dabi ya mama na mtaleta timu tu mamae zenu

Profilbild von Lil Dee
Lil Deevor 1 Jahr

Walitaka tuzingatie Arusha, hakuna kingine hapa

Profilbild von Adloph
Adlophvor 1 Jahr

2. Watu wanalinganisha mechi ambayo Yanga walileta timu muda muafaka saa 11 badala ya saa moja baada ya BODI YA LIGI kuhairisha mechi kinyume na sheria ili kuwapa favour wanasiasa waliokuwepo Bungeni wamalize bunge waangalie mechi ambapo TFF waliiingiza siasa kwenye mpira .....

Profilbild von M
Mvor 1 Jahr

Unasema kaongea fact wakati utumbo mtupu, Serikali inakabidhi uwanja kwa timu mwenyeji siku 1 kabla ya mechi husika hivyo yanga walikua na mamlaka nao pia pre match meeting haifanyiki siku moja kabla ya mechi ila hufanyika mapema siku ya mechi yenyewe.

Profilbild von Jumaah Salumu
Jumaah Salumuvor 1 Jahr

Baba Levo, good sana ila bodi ya ligi kuu na TFF pia wizara yake haipo kimpira. Kama matukio kama haya alishatokea msimu huu na mechi zilichezwa, vizuri tu. Je mamlaka waliyatibuje ili asijitokeze tena, siasa kwenye mpira umetawala sio uweledi. We are looser.

Ähnliche Videos

Uno Rojo rostiii 😋🔥🔥🔥🔥 Utamu tupu 👉🏼
0:30

Sensitive content

Uno Rojo rostiii 😋🔥🔥🔥🔥 Utamu tupu 👉🏼

Fetty Wakuache

28,648 Aufrufe • vor 1 Jahr