Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

B LEVO BAA.🔥🔥🔥 FACT TUPU👑

100,378 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля BELINDA
BELINDA1 год назад

Upuuzi katoa maoni au amekuja kuibeza simba Kama meneja wa uwanja akufungua geti yanga walikuwepo wanFnya nini uwanjani simba alitakiwa akataliawe na meneja na sio hao walinzi wa yanga Kingine baba levo anahamasisha kama nani ety yanga asicheze ukiwa chawa uwe n mpaka

Фото профиля Malalo Adam
Malalo Adam1 год назад

Huyu japo hana taaluma ya uchambuzi lkn anawazidi wale waliojaa mashavu kina Oruma

Фото профиля Solar Heavy
Solar Heavy1 год назад

take the journey

Фото профиля Nderumaki@gmail.com
[email protected]1 год назад

usilinganishe pamba na Derby, pamba ina influence gani?msitumie kichwa kma mfuniko wa shingo

Фото профиля SATIVA17
SATIVA171 год назад

KOLO NI KOLO. Tangu lini ligi iliendeshwa kwa influence? Ligi inaendeshwa kwa kanuni. Kanuni mnazijua ndiomaana game ya PAMBA mlifanyiwa fujo ila kesho yake mkapeleka team. Hii game kwann hamjaleta team?

Фото профиля Mtani
Mtani1 год назад

Pre match meeting si inakua asubuh ya siku ya match ama? Ni kwamba amechoma au mimi ndo sijui?? Au bas

Фото профиля willisaac👽
willisaac👽1 год назад

Mechi itaitwa dabi ya mama na mtaleta timu tu mamae zenu

Фото профиля Lil Dee
Lil Dee1 год назад

Walitaka tuzingatie Arusha, hakuna kingine hapa

Фото профиля Adloph
Adloph1 год назад

2. Watu wanalinganisha mechi ambayo Yanga walileta timu muda muafaka saa 11 badala ya saa moja baada ya BODI YA LIGI kuhairisha mechi kinyume na sheria ili kuwapa favour wanasiasa waliokuwepo Bungeni wamalize bunge waangalie mechi ambapo TFF waliiingiza siasa kwenye mpira .....

Фото профиля M
M1 год назад

Unasema kaongea fact wakati utumbo mtupu, Serikali inakabidhi uwanja kwa timu mwenyeji siku 1 kabla ya mechi husika hivyo yanga walikua na mamlaka nao pia pre match meeting haifanyiki siku moja kabla ya mechi ila hufanyika mapema siku ya mechi yenyewe.

Фото профиля Jumaah Salumu
Jumaah Salumu1 год назад

Baba Levo, good sana ila bodi ya ligi kuu na TFF pia wizara yake haipo kimpira. Kama matukio kama haya alishatokea msimu huu na mechi zilichezwa, vizuri tu. Je mamlaka waliyatibuje ili asijitokeze tena, siasa kwenye mpira umetawala sio uweledi. We are looser.

Похожие видео