Video yükleniyor...

Video Yüklenemedi

Ana Sayfaya Dön

B LEVO BAA.🔥🔥🔥 FACT TUPU👑

100,378 görüntüleme • 1 yıl önce •via X (Twitter)

11 Yorum

BELINDA profil fotoğrafı
BELINDA1 yıl önce

Upuuzi katoa maoni au amekuja kuibeza simba Kama meneja wa uwanja akufungua geti yanga walikuwepo wanFnya nini uwanjani simba alitakiwa akataliawe na meneja na sio hao walinzi wa yanga Kingine baba levo anahamasisha kama nani ety yanga asicheze ukiwa chawa uwe n mpaka

Malalo Adam profil fotoğrafı
Malalo Adam1 yıl önce

Huyu japo hana taaluma ya uchambuzi lkn anawazidi wale waliojaa mashavu kina Oruma

Solar Heavy profil fotoğrafı
Solar Heavy1 yıl önce

take the journey

Nderumaki@gmail.com profil fotoğrafı
[email protected]1 yıl önce

usilinganishe pamba na Derby, pamba ina influence gani?msitumie kichwa kma mfuniko wa shingo

SATIVA17 profil fotoğrafı
SATIVA171 yıl önce

KOLO NI KOLO. Tangu lini ligi iliendeshwa kwa influence? Ligi inaendeshwa kwa kanuni. Kanuni mnazijua ndiomaana game ya PAMBA mlifanyiwa fujo ila kesho yake mkapeleka team. Hii game kwann hamjaleta team?

Mtani profil fotoğrafı
Mtani1 yıl önce

Pre match meeting si inakua asubuh ya siku ya match ama? Ni kwamba amechoma au mimi ndo sijui?? Au bas

willisaac👽 profil fotoğrafı
willisaac👽1 yıl önce

Mechi itaitwa dabi ya mama na mtaleta timu tu mamae zenu

Lil Dee profil fotoğrafı
Lil Dee1 yıl önce

Walitaka tuzingatie Arusha, hakuna kingine hapa

Adloph profil fotoğrafı
Adloph1 yıl önce

2. Watu wanalinganisha mechi ambayo Yanga walileta timu muda muafaka saa 11 badala ya saa moja baada ya BODI YA LIGI kuhairisha mechi kinyume na sheria ili kuwapa favour wanasiasa waliokuwepo Bungeni wamalize bunge waangalie mechi ambapo TFF waliiingiza siasa kwenye mpira .....

M profil fotoğrafı
M1 yıl önce

Unasema kaongea fact wakati utumbo mtupu, Serikali inakabidhi uwanja kwa timu mwenyeji siku 1 kabla ya mechi husika hivyo yanga walikua na mamlaka nao pia pre match meeting haifanyiki siku moja kabla ya mechi ila hufanyika mapema siku ya mechi yenyewe.

Jumaah Salumu profil fotoğrafı
Jumaah Salumu1 yıl önce

Baba Levo, good sana ila bodi ya ligi kuu na TFF pia wizara yake haipo kimpira. Kama matukio kama haya alishatokea msimu huu na mechi zilichezwa, vizuri tu. Je mamlaka waliyatibuje ili asijitokeze tena, siasa kwenye mpira umetawala sio uweledi. We are looser.

Benzer Videolar