正在加载视频...
视频加载失败
B LEVO BAA.🔥🔥🔥 FACT TUPU👑
11 条评论

Upuuzi katoa maoni au amekuja kuibeza simba Kama meneja wa uwanja akufungua geti yanga walikuwepo wanFnya nini uwanjani simba alitakiwa akataliawe na meneja na sio hao walinzi wa yanga Kingine baba levo anahamasisha kama nani ety yanga asicheze ukiwa chawa uwe n mpaka

Huyu japo hana taaluma ya uchambuzi lkn anawazidi wale waliojaa mashavu kina Oruma

take the journey

usilinganishe pamba na Derby, pamba ina influence gani?msitumie kichwa kma mfuniko wa shingo

KOLO NI KOLO. Tangu lini ligi iliendeshwa kwa influence? Ligi inaendeshwa kwa kanuni. Kanuni mnazijua ndiomaana game ya PAMBA mlifanyiwa fujo ila kesho yake mkapeleka team. Hii game kwann hamjaleta team?

Pre match meeting si inakua asubuh ya siku ya match ama? Ni kwamba amechoma au mimi ndo sijui?? Au bas

Mechi itaitwa dabi ya mama na mtaleta timu tu mamae zenu

Walitaka tuzingatie Arusha, hakuna kingine hapa

2. Watu wanalinganisha mechi ambayo Yanga walileta timu muda muafaka saa 11 badala ya saa moja baada ya BODI YA LIGI kuhairisha mechi kinyume na sheria ili kuwapa favour wanasiasa waliokuwepo Bungeni wamalize bunge waangalie mechi ambapo TFF waliiingiza siasa kwenye mpira .....

Unasema kaongea fact wakati utumbo mtupu, Serikali inakabidhi uwanja kwa timu mwenyeji siku 1 kabla ya mechi husika hivyo yanga walikua na mamlaka nao pia pre match meeting haifanyiki siku moja kabla ya mechi ila hufanyika mapema siku ya mechi yenyewe.

Baba Levo, good sana ila bodi ya ligi kuu na TFF pia wizara yake haipo kimpira. Kama matukio kama haya alishatokea msimu huu na mechi zilichezwa, vizuri tu. Je mamlaka waliyatibuje ili asijitokeze tena, siasa kwenye mpira umetawala sio uweledi. We are looser.

