Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Bado safari ni refu sana !!

33,147 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

Leonard Sinda's profile picture
Leonard Sinda1 year ago

Na bado akauza bandari na Ngorongoro?!

Solar Heavy's profile picture
Solar Heavy1 year ago

got a min for a new song?

YourCousin's profile picture
YourCousin1 year ago

Akili ndogo hz Sijasoma Uchumi Ila uchumi wa Tz kipind cha JKN hauwez kuwa sawa na uchumi wa Tz kipind iki Hvyo hata uwezo wa kukopa ni tofauti… Uwezo wa Mo Dewji kukopa mwaka 1998 kipind anachukua METL hauwez kuwa sawa na uwezo wake sasa Kampuni imekuwa na uwezo lazm uongezeke

Omary Mjema's profile picture
Omary Mjema1 year ago

T20 Zipo mifukoni mwako wajanja weed

Dr.GANDLF's profile picture
Dr.GANDLF1 year ago

Gonga like kama. Ulimuelewa ndugai

Jamal Said's profile picture
Jamal Said1 year ago

Wanawake na kausha damu ni jadi yao...ko hakuna chakushangaa hapo..

Rizik Makoye's profile picture
Rizik Makoye1 year ago

Nchi imejiunga vikoba vya IMF & WORLD BANK, ni kawaida kwa wanawake wa pwani kufanya mambo haya

Nestory Gervas's profile picture
Nestory Gervas1 year ago

Wewe jamaa hizo data umezitoa chumbani kwa mke wako, una uhakika na hilo unalolisema. Nyerere alikopa kiasi gani, na Je Mwinyi alikopa kiasi hani kama una kumbukumbu kweli!?

Mr.Eagle 🦅's profile picture
Mr.Eagle 🦅1 year ago

Mamae

baba g's profile picture
baba g1 year ago

Zilizolipwa na Samia baada ya hao wengine kukopa ni ngapi???

chifu kiumbee's profile picture
chifu kiumbee1 year ago

Hao itv camera zao hua hawabadlishi aisee

Related Videos