Loading video...
Video Failed to Load
Bado safari ni refu sana !!
33,147 views • 1 year ago •via X (Twitter)
11 Comments

Na bado akauza bandari na Ngorongoro?!

got a min for a new song?

Akili ndogo hz Sijasoma Uchumi Ila uchumi wa Tz kipind cha JKN hauwez kuwa sawa na uchumi wa Tz kipind iki Hvyo hata uwezo wa kukopa ni tofauti… Uwezo wa Mo Dewji kukopa mwaka 1998 kipind anachukua METL hauwez kuwa sawa na uwezo wake sasa Kampuni imekuwa na uwezo lazm uongezeke

T20 Zipo mifukoni mwako wajanja weed

Gonga like kama. Ulimuelewa ndugai

Wanawake na kausha damu ni jadi yao...ko hakuna chakushangaa hapo..

Nchi imejiunga vikoba vya IMF & WORLD BANK, ni kawaida kwa wanawake wa pwani kufanya mambo haya

Wewe jamaa hizo data umezitoa chumbani kwa mke wako, una uhakika na hilo unalolisema. Nyerere alikopa kiasi gani, na Je Mwinyi alikopa kiasi hani kama una kumbukumbu kweli!?

Mamae

Zilizolipwa na Samia baada ya hao wengine kukopa ni ngapi???

Hao itv camera zao hua hawabadlishi aisee
