Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

95,154 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)

10 Kommentare

Profilbild von 𝐦𝐳𝐢𝐦𝐮 𝐰𝐚 𝐥𝐨𝐰𝐚𝐬𝐬𝐚
𝐦𝐳𝐢𝐦𝐮 𝐰𝐚 𝐥𝐨𝐰𝐚𝐬𝐬𝐚vor 1 Jahr

Wengi huja baada kuona wachache wameweza 🤝

Profilbild von Eng.kissanga
Eng.kissangavor 1 Jahr

Maandamano ya nchi hii mkipanga nawenyewe wanapanga. So apo iwe ivi siku lisu ..mbowe na viongozi wengine wanaitisha mkutano wa hadhara unaanza asubuhii ..saa4 alafu kinanuka kwanzia hapo ..ila tukisema tunapanga ratiba ni uongo

Profilbild von Mzalendo Daily
Mzalendo Dailyvor 1 Jahr

😂😂😂😂 Sema Twaha una utani sana.

Profilbild von Power Set
Power Setvor 1 Jahr

Ndio mpo wa 5?

Profilbild von Povu Time
Povu Timevor 1 Jahr

Huyo mama kaguswa bega tu na mwenzake anataka kutoka nduki 😂😂😂😂

Profilbild von МαхιмιlιαnLB⛪🇹🇿°An Apologist Of Sacred Morality°
МαхιмιlιαnLB⛪🇹🇿°An Apologist Of Sacred Morality°vor 1 Jahr

INASIKITISHA na KUHUZUNISHA SANA🤔🤔. Wakati mwingine viongozi wa CHADEMA muwe mnafikiria VYEMA kabla ya kufanya maamuzi kwenye mambo mazito kama haya. Kilichotokea leo is exactly what I previously warned you of, NA KWA FAIDA YA WENGI NINAPENDA KURUDIA TENA: "UHAMASISHAJI WA MAANDAMANO kwenye TAIFA LA GIZA kama hili, lenye idadi kubwa ya raia walio WAJINGA na WAPUMBAFU juu ya HAKI na NGUVU ya UMMA, is NOTHING MORE OR LESS THAN JUST: 1. UGHALIMISHAJI wa KIZEMBE wa maisha ya vijana na watu WACHACHE wanaobeba MAONO sahihi ya UKOMBOZI halisi wa TAIFA hili. 2. UPOTEZAJI muda wa BURE, na udhalilishaji wa nadharia jumuishi ya MAANDAMANO ya AMANI. 3. UCHOCHEZI wa VURUGU za BURE, unaoweza kuighalimu AMANI dhaifu iliyopo, na kuutweza BURE USALAMA wetu kama RAIA. TUFANYE NINI BASI? Tanzania si mwanafunzi TIMAMU aliye mjinga pekee, bali ni mwanafunzi mjinga aliye MPUMBAFU pia. THEREFORE, kumfundisha mwanafunzi huyu kwa kutumia mbinu elekezi zilizo maalumu kwa ajili ya mwanafunzi TIMAMU, ni sawa sawa na kujaribu kuitibu MALARIA SUGU kwa kutumia PALACETAMOL na AMOXICILLIN pekee. KAMA KUITIBU TANZANIA HII NI JAMBO LA LAZIMA, BASI na tulitibu taifa letu kwa namna sahili inayoweza kulifanya lituelewe vyema. With that being said, nafikiri huu ndio muda sahihi kwa @ChademaTz sambamba na vyama vingine vya UPINZANI, kuachana kabisa na VUGUVUGU la KIHARAKATI, na hatimaye kujiingiza katika SIASA makini ZITAKAZO WAWEKA KARIBU NA majority ya watanzania hawa walio WAJINGA na WAPUMBAFU. Ni muda sahili kwa vyama hivi kuanza kuwekeza katika HAMASA ya kisiasa, kwa kuipanda nguvu yao kubwa kwenye VILABU vya SOKA, WASANII, INFLUENCERS, na hizi GROUND TIER SOCIAL MEDIA platforms kama FACEBOOK, na INSTAGRAM. Wakumbusheni viongozi wa vya vyama vyenu, madiwani na wabunge wenu, kuanzisha ligi za mbuzi na ng'ombe kwenye maeneo yao wanayotoka, ili kunasa ATTENTION ya vijana wengi WAPUMBAFU wasioona ubora na furaha ya MAISHA, nje ya KAMALI SOKA na MPIRA wa MIGUU. Badala ya KUWEKEZA KATIKA HARAKATI TUPU PEKEE, PANDENI MBEGU YA USHINDI KWA KUFANYA HARAKATI MAKINI NDANI YA SIASA SAHILI, ILI MLIOKOE TAIFA LENU." Maximilian Ludovick anaomba kuwasilisha.🙏🏿🙏🏿

Profilbild von The Tigger voice
The Tigger voicevor 1 Jahr

Muriro wewe ni waajabu sana kuliko mnyika, RPC wa Dodoma analinda sasa migodi na kampuni za ulinzi, kwanza anaelimu kuliko yako, sio chawa,ukiondoka madarakani CCM haikujui, muulize mwenzako sasa hivi ni mbwakoko.

Profilbild von SALIM SIWATU
SALIM SIWATUvor 1 Jahr

Hiiiii mama jamani...hongereni jamani eti

Profilbild von Rashidi Hamimu
Rashidi Hamimuvor 1 Jahr

Ndio maandamano ya nchi nzima hayo 🤭🤭🤭

Profilbild von GabbY
GabbYvor 1 Jahr

Maandamano ni haki lakin haki hatuioni

Ähnliche Videos