Loading video...
Video Failed to Load
Bodaboda wenzangu mnasikia lakini ?
48,811 views • 1 year ago •via X (Twitter)
11 Comments

Ndio maana tukaambiwa elimu ni muhimu, sasa kwanini asiseme watakaotembea nusu uchi washtakiwe

Eeeeh🤣🤣🤣🤣, kwa hiyo akipita mwenye maumbike makubwa hakuna kukohoa , me ninaebanja kabisa si nitahukumiwa kunyongwa

does this represent Miami?

Lini watashika Watekaji na Mafisadi wakawafunga?

Afande wasiojulikana ndio shida kubwa mtaani. Hii ya kukoa wahusika wao waje washitaki polisi muwakamate. Sema hii nchi, hivi afande unajua Kwa nini Raia wakikamata mwizi wanampiga badala ya kumleta polisi?!

Wanaume tumeumbiwa mateso😥 yani mtu umesha fanyiwa shambulio la msisimko 😎 unakohoa upate msaada unauziwa kesi! Ya shambulio la aibu😭 tukaze tu Wanaume nimifumo ya kumpoteza men kwenye uso wa Dunia

Boda boda viazi sana

😁 mambo ni mengi

Kwani wakijistili kuna ubaya

Laana imeanza kufanya kazi

Hiyo niishara ya kuto kujua vyema majukumu yako niyapi kama polisi sasa ww unadhani wanavyoo vaa mpaka sehemi zao nyet zinajichora unadhani wanatafuta nn sa kusifiwa unafeli wp ndg
