ๆญฃๅœจๅŠ ่ฝฝ่ง†้ข‘...

่ง†้ข‘ๅŠ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Bongo bhanaaa

79,581 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 2 ๅนดๅ‰ โ€ขvia X (Twitter)

10 ๆก่ฏ„่ฎบ

Mdude Nyagali ็š„ๅคดๅƒ
Mdude Nyagali2 ๅนดๅ‰

Huu ni mdoli kama ile ya Kariakoo kwenye maduka ya nguo wala sio Robot Bumunda Nape aache utapeli.

Pam Belinda ๐Ÿฅ‡ ็š„ๅคดๅƒ
Pam Belinda ๐Ÿฅ‡2 ๅนดๅ‰

Makubwa.. Haya siyo ya kucheka..! Wakenya wanasema.. HIZI NI MA-WHAT..?

Kikokotoo ็š„ๅคดๅƒ
Kikokotoo2 ๅนดๅ‰

Lema fanya juuu chini urudie nafasi yako chuga ili urudi bungeni tumemiss nondo wasingeleta huyo roboti wanafanya ivyo kutokana wapo wenyewe kule ndani.

Kivuyo247 ็š„ๅคดๅƒ
Kivuyo2472 ๅนดๅ‰

Hiyo sauti naifahamu, iko katika mojawapo ya akaunti zangu za kubadili text to voice kwa kiswahili kwa kutumia AI tool. Sio sauti za watanzania na haina mvuto kabisa. Ilitakiwa zingetumika sauti za kitanzania ili kuweka ladha ya utamaduni wetu katika kuongea

Emmanuel Fungo ็š„ๅคดๅƒ
Emmanuel Fungo2 ๅนดๅ‰

Mbona yupo tofaut nasofia sofia kope zina cheza midomo inafanania kuzungumza au huyu nikama redio tu waweka frash iliyo kwisha rekodiwa au mimi ndo sielew

Mobali ibn Batuta ็š„ๅคดๅƒ
Mobali ibn Batuta2 ๅนดๅ‰

Hili ndio robot sasa

GAZ ็š„ๅคดๅƒ
GAZ2 ๅนดๅ‰

Hatakama inatakiwa kupenda vya kwetu hii hapana aisee ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚..nni hiki ?

Zature ็š„ๅคดๅƒ
Zature2 ๅนดๅ‰

Kaizen kiongozi, hata mbuyu ulianza kama mchicha

Sekenke One ๐ŸŒป ็š„ๅคดๅƒ
Sekenke One ๐ŸŒป2 ๅนดๅ‰

Mbona kama wameliwekea Karedio na memory ndani , hata midomo haichezi ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ali Wasi ็š„ๅคดๅƒ
Ali Wasi2 ๅนดๅ‰

๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ ma-robots wakimshangaa robot mwenzao bila kujua kuwa nao ni ma-robots na remote yao iko kizimkazi.

็›ธๅ…ณ่ง†้ข‘