Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
๐๐๐๐๐๐๐๐๐CCM Oyee
90,777 Aufrufe โข vor 2 Jahren โขvia X (Twitter)
9 Kommentare

Wahuni wa mitaa ya bondeni na kaloleni๐คฃ๐คฃ

๐ ajabu ni kwamba huyu nae baadae alikuwepo kwenye maandamano its written kula ccm kulala chadema

Huyu mwandishi aliyemhoji huyu jamaa inabidi arudi kukusanya tena maoni upya baada ya maandamano ili ajue kama kuna balaa lolote limemkuta!

Farewell, Mzee Rukhsa. Granting public servants access to own property and private business was a sacrifice. His legacy is seen as a complex blend of progress and challenges. His reform approach leaves an indelible mark on the nation's history. Read:

Huyu chalii aliye vaa opp mbona tulikuwa naye kwenye msafara kwaanzia mbauda dah kweli LEMA anajua aliwaambia chukueni kibunda kisha mtajua chakufanya ndiyo hiki sasa mwamba anapinga kwenye secreen kwenye msafara yupo dah

๐ hapo ndo xxm walipocheza karata yao vizuri ya kutengeneza wajinga ili kuwatumia kama hivyo,Mungu na mitandao itawaumbua

Huyu jamaa anasababusha wahuni tuonekane hatuna akili mbwa huyu

walitusaidia sana kutangazia umma maandamano yetuโ๏ธ

yan unaona kabisa walivopangwa..hoja zao sasa watoto wanaend shule na wao wanakula๐๐shule hakun madawati mitoto zero kila siku chakula wanakula afadhali na mbwa wangu khaaa hii nchi aliyeturoga alitumia dawa za kiwang cha juu
