ๆญฃๅœจๅŠ ่ฝฝ่ง†้ข‘...

่ง†้ข‘ๅŠ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚CCM Oyee

90,777 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 2 ๅนดๅ‰ โ€ขvia X (Twitter)

9 ๆก่ฏ„่ฎบ

B'bojick Sรƒล˜ลถรƒ ็š„ๅคดๅƒ
B'bojick Sรƒล˜ลถรƒ2 ๅนดๅ‰

Wahuni wa mitaa ya bondeni na kaloleni๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Frank Shusha ็š„ๅคดๅƒ
Frank Shusha2 ๅนดๅ‰

๐Ÿ˜„ ajabu ni kwamba huyu nae baadae alikuwepo kwenye maandamano its written kula ccm kulala chadema

Kaka Poli #Mkwanzania ็š„ๅคดๅƒ
Kaka Poli #Mkwanzania2 ๅนดๅ‰

Huyu mwandishi aliyemhoji huyu jamaa inabidi arudi kukusanya tena maoni upya baada ya maandamano ili ajue kama kuna balaa lolote limemkuta!

Tanzania Digest ็š„ๅคดๅƒ
Tanzania Digest2 ๅนดๅ‰

Farewell, Mzee Rukhsa. Granting public servants access to own property and private business was a sacrifice. His legacy is seen as a complex blend of progress and challenges. His reform approach leaves an indelible mark on the nation's history. Read:

Kikokotoo ็š„ๅคดๅƒ
Kikokotoo2 ๅนดๅ‰

Huyu chalii aliye vaa opp mbona tulikuwa naye kwenye msafara kwaanzia mbauda dah kweli LEMA anajua aliwaambia chukueni kibunda kisha mtajua chakufanya ndiyo hiki sasa mwamba anapinga kwenye secreen kwenye msafara yupo dah

Full tank ็š„ๅคดๅƒ
Full tank2 ๅนดๅ‰

๐Ÿ˜„ hapo ndo xxm walipocheza karata yao vizuri ya kutengeneza wajinga ili kuwatumia kama hivyo,Mungu na mitandao itawaumbua

Jack bauer ็š„ๅคดๅƒ
Jack bauer2 ๅนดๅ‰

Huyu jamaa anasababusha wahuni tuonekane hatuna akili mbwa huyu

Leah Mollel ็š„ๅคดๅƒ
Leah Mollel2 ๅนดๅ‰

walitusaidia sana kutangazia umma maandamano yetuโœ๏ธ

Winga wa uhai๐Ÿ™…๐Ÿพ ็š„ๅคดๅƒ
Winga wa uhai๐Ÿ™…๐Ÿพ2 ๅนดๅ‰

yan unaona kabisa walivopangwa..hoja zao sasa watoto wanaend shule na wao wanakula๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚shule hakun madawati mitoto zero kila siku chakula wanakula afadhali na mbwa wangu khaaa hii nchi aliyeturoga alitumia dawa za kiwang cha juu

็›ธๅ…ณ่ง†้ข‘