Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Chombo Inapepeaaa Haswaaah🙌

70,301 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

Ridhiwani Maulid's profile picture
Ridhiwani Maulid1 year ago

June mwaka jana natoka Znz kuja Dar nilikuwa na mwanangu, bahari ilikuwa imechangamka mnoo Jamaa angu alikuwa katulia mnoo.. Tumefika Dar ananambia ametuma fedha zote alizokuwa nazo kwenye account kwa ndugu zake, alidhani hiyo ndy ilikuwa siku ya mwisho. Nikampa nauli ya boda😀

Swahili Agribusiness 🇹🇿's profile picture
Swahili Agribusiness 🇹🇿1 year ago

Humo ndani kama sio mwenyeji wa safari za maji unaweza lia machozi, alafu wazawa wanafurahi tu😄

Hugo's profile picture
Hugo1 year ago

Se llama @claseflix. Acá les dejo el link 🎬📚

~kiss©️anga🇸🇷~'s profile picture
~kiss©️anga🇸🇷~1 year ago

Aliyechukua video alikuwa kwa Azam/Kilimanjaro marine

Herman Mdee's profile picture
Herman Mdee1 year ago

Kwa ambaye hajawahi safir majin anaeza dhani wanaenjoy

Dr halima's profile picture
Dr halima1 year ago

Sema hawa nao mabio tuu watu wanafika wamechoka taaban kumizana maini tuu

Raheemtawfiq's profile picture
Raheemtawfiq1 year ago

Ukiwa humo ndani mkristo unashahadia muislamu unasema kwa jina la baba hatri ukute bahari imechanganyikiwa ukifika home Hadi maji ya kunywa utayaogopa

Said Mdugi's profile picture
Said Mdugi1 year ago

Sipanda ng'o

Raheemtawfiq's profile picture
Raheemtawfiq1 year ago

Hii nungwi itakuwa

Zwangendaba wa Majimoto's profile picture
Zwangendaba wa Majimoto1 year ago

Hii kitu inanikumbusha safari ya Nyamisati to Mafia, June 2014. Moyo wangu ulikuwa juu juu, nahodha alikuwa anazima engine kwa ajili ya kubalance Boat, kuna mmasai 1 alikuwa ni kutapika na kuharisha😄, wakina mama ni kilio almost 30 min. Nikasema June si mwezi mzuri wa kusafiri.

Rogers Omary's profile picture
Rogers Omary1 year ago

Aiseee

Related Videos