Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Chombo Inapepeaaa Haswaaah🙌

70,301 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля Ridhiwani Maulid
Ridhiwani Maulid1 год назад

June mwaka jana natoka Znz kuja Dar nilikuwa na mwanangu, bahari ilikuwa imechangamka mnoo Jamaa angu alikuwa katulia mnoo.. Tumefika Dar ananambia ametuma fedha zote alizokuwa nazo kwenye account kwa ndugu zake, alidhani hiyo ndy ilikuwa siku ya mwisho. Nikampa nauli ya boda😀

Фото профиля Swahili Agribusiness 🇹🇿
Swahili Agribusiness 🇹🇿1 год назад

Humo ndani kama sio mwenyeji wa safari za maji unaweza lia machozi, alafu wazawa wanafurahi tu😄

Фото профиля Hugo
Hugo1 год назад

Se llama @claseflix. Acá les dejo el link 🎬📚

Фото профиля ~kiss©️anga🇸🇷~
~kiss©️anga🇸🇷~1 год назад

Aliyechukua video alikuwa kwa Azam/Kilimanjaro marine

Фото профиля Herman Mdee
Herman Mdee1 год назад

Kwa ambaye hajawahi safir majin anaeza dhani wanaenjoy

Фото профиля Dr halima
Dr halima1 год назад

Sema hawa nao mabio tuu watu wanafika wamechoka taaban kumizana maini tuu

Фото профиля Raheemtawfiq
Raheemtawfiq1 год назад

Ukiwa humo ndani mkristo unashahadia muislamu unasema kwa jina la baba hatri ukute bahari imechanganyikiwa ukifika home Hadi maji ya kunywa utayaogopa

Фото профиля Said Mdugi
Said Mdugi1 год назад

Sipanda ng'o

Фото профиля Raheemtawfiq
Raheemtawfiq1 год назад

Hii nungwi itakuwa

Фото профиля Zwangendaba wa Majimoto
Zwangendaba wa Majimoto1 год назад

Hii kitu inanikumbusha safari ya Nyamisati to Mafia, June 2014. Moyo wangu ulikuwa juu juu, nahodha alikuwa anazima engine kwa ajili ya kubalance Boat, kuna mmasai 1 alikuwa ni kutapika na kuharisha😄, wakina mama ni kilio almost 30 min. Nikasema June si mwezi mzuri wa kusafiri.

Фото профиля Rogers Omary
Rogers Omary1 год назад

Aiseee

Похожие видео