Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Chukua hiyooo……tuondoke babaaa!!
10 Yorum

Hii hapa mkaisome uzuuri

Tumeichukua hiyo,maana tunajua kuisoma vizuri ! Madhalimu Sasa watatukomaaa! Ahsante shekhe Lusaganya,mwisho wao umefika

Kwa wakristo soma zaburi 1 mpaka 115 mara 75 kila siku mara tatu. Chukua iyo 😂

Kama siwezi kuisoma nikiisikiliza mara 73 na kila baada ya mara 10 nikitaja jina lake si ni imoo?

Kila kitu kina code yake utaalam wa kutumia code hata Mungu aliuweka sabini ile ya saba mara sabini ambayo ilitajwa kwenye kile kitabu. Tumia code kuomba tumia code kuonyesha ni msaada gani unautaka kwa Mungu. Kila mtu anaomba ila unaombaje ndio muhimu.

Huu ni UZUSHI hakuna dalili ya jambo hili. Si kiingine hiki ila ni Usufi tu.

Hiyo hapo msoweza kuisoma

Naaaam

Basiiiii mmekwisha

Point muhimu sana hii
Benzer Videolar
Sensitive content
Relax babaaa na nenda kafturu kwa amani 💋
chiccatheboss
46,776 görüntüleme • 1 yıl önce
