Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Chukua hiyooo……tuondoke babaaa!!

132,796 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

halima wahabu's profile picture
halima wahabu1 year ago

Hii hapa mkaisome uzuuri

ManSimba's profile picture
ManSimba1 year ago

Tumeichukua hiyo,maana tunajua kuisoma vizuri ! Madhalimu Sasa watatukomaaa! Ahsante shekhe Lusaganya,mwisho wao umefika

𝘾𝙝𝙖𝙧𝙡𝙚𝙨 𝙗𝙞𝙘𝙠 21's profile picture
𝘾𝙝𝙖𝙧𝙡𝙚𝙨 𝙗𝙞𝙘𝙠 211 year ago

Kwa wakristo soma zaburi 1 mpaka 115 mara 75 kila siku mara tatu. Chukua iyo 😂

Upupu 🇹🇿's profile picture
Upupu 🇹🇿1 year ago

Kama siwezi kuisoma nikiisikiliza mara 73 na kila baada ya mara 10 nikitaja jina lake si ni imoo?

Mswazi Smart's profile picture
Mswazi Smart1 year ago

Kila kitu kina code yake utaalam wa kutumia code hata Mungu aliuweka sabini ile ya saba mara sabini ambayo ilitajwa kwenye kile kitabu. Tumia code kuomba tumia code kuonyesha ni msaada gani unautaka kwa Mungu. Kila mtu anaomba ila unaombaje ndio muhimu.

𝐉. 𝐉.'s profile picture
𝐉. 𝐉.1 year ago

Huu ni UZUSHI hakuna dalili ya jambo hili. Si kiingine hiki ila ni Usufi tu.

Allythirteen's profile picture
Allythirteen1 year ago

Hiyo hapo msoweza kuisoma

𝐇𝐚𝐛𝐢𝐢𝐛 𝐘𝐚𝐡𝐲𝐚's profile picture
𝐇𝐚𝐛𝐢𝐢𝐛 𝐘𝐚𝐡𝐲𝐚1 year ago

Naaaam

street cat's profile picture
street cat1 year ago

Basiiiii mmekwisha

WOLFGANG's profile picture
WOLFGANG1 year ago

Point muhimu sana hii