Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Chukua hiyooo……tuondoke babaaa!!
Комментарии: 10

halima wahabu1 год назад
Hii hapa mkaisome uzuuri

ManSimba1 год назад
Tumeichukua hiyo,maana tunajua kuisoma vizuri ! Madhalimu Sasa watatukomaaa! Ahsante shekhe Lusaganya,mwisho wao umefika

𝘾𝙝𝙖𝙧𝙡𝙚𝙨 𝙗𝙞𝙘𝙠 211 год назад
Kwa wakristo soma zaburi 1 mpaka 115 mara 75 kila siku mara tatu. Chukua iyo 😂

Upupu 🇹🇿1 год назад
Kama siwezi kuisoma nikiisikiliza mara 73 na kila baada ya mara 10 nikitaja jina lake si ni imoo?

Mswazi Smart1 год назад
Kila kitu kina code yake utaalam wa kutumia code hata Mungu aliuweka sabini ile ya saba mara sabini ambayo ilitajwa kwenye kile kitabu. Tumia code kuomba tumia code kuonyesha ni msaada gani unautaka kwa Mungu. Kila mtu anaomba ila unaombaje ndio muhimu.

𝐉. 𝐉.1 год назад
Huu ni UZUSHI hakuna dalili ya jambo hili. Si kiingine hiki ila ni Usufi tu.

Allythirteen1 год назад
Hiyo hapo msoweza kuisoma

𝐇𝐚𝐛𝐢𝐢𝐛 𝐘𝐚𝐡𝐲𝐚1 год назад
Naaaam

street cat1 год назад
Basiiiii mmekwisha

WOLFGANG1 год назад
Point muhimu sana hii
