Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Chukua hiyooo……tuondoke babaaa!!

132,796 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля halima wahabu
halima wahabu1 год назад

Hii hapa mkaisome uzuuri

Фото профиля ManSimba
ManSimba1 год назад

Tumeichukua hiyo,maana tunajua kuisoma vizuri ! Madhalimu Sasa watatukomaaa! Ahsante shekhe Lusaganya,mwisho wao umefika

Фото профиля 𝘾𝙝𝙖𝙧𝙡𝙚𝙨 𝙗𝙞𝙘𝙠 21
𝘾𝙝𝙖𝙧𝙡𝙚𝙨 𝙗𝙞𝙘𝙠 211 год назад

Kwa wakristo soma zaburi 1 mpaka 115 mara 75 kila siku mara tatu. Chukua iyo 😂

Фото профиля Upupu 🇹🇿
Upupu 🇹🇿1 год назад

Kama siwezi kuisoma nikiisikiliza mara 73 na kila baada ya mara 10 nikitaja jina lake si ni imoo?

Фото профиля Mswazi Smart
Mswazi Smart1 год назад

Kila kitu kina code yake utaalam wa kutumia code hata Mungu aliuweka sabini ile ya saba mara sabini ambayo ilitajwa kwenye kile kitabu. Tumia code kuomba tumia code kuonyesha ni msaada gani unautaka kwa Mungu. Kila mtu anaomba ila unaombaje ndio muhimu.

Фото профиля 𝐉. 𝐉.
𝐉. 𝐉.1 год назад

Huu ni UZUSHI hakuna dalili ya jambo hili. Si kiingine hiki ila ni Usufi tu.

Фото профиля Allythirteen
Allythirteen1 год назад

Hiyo hapo msoweza kuisoma

Фото профиля 𝐇𝐚𝐛𝐢𝐢𝐛 𝐘𝐚𝐡𝐲𝐚
𝐇𝐚𝐛𝐢𝐢𝐛 𝐘𝐚𝐡𝐲𝐚1 год назад

Naaaam

Фото профиля street cat
street cat1 год назад

Basiiiii mmekwisha

Фото профиля WOLFGANG
WOLFGANG1 год назад

Point muhimu sana hii

Похожие видео