Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Dakika 5 za HECHE 🔥🔥🔥

79,104 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

Anord's profile picture
Anord1 year ago

Haya mambo anasema Heche yanatia hasira sana, @ccm_tanzania mnalikosea sana Taifa hili

IBRAHIM TRAOLE@ CAPTAIN's profile picture
IBRAHIM TRAOLE@ CAPTAIN1 year ago

Umaskiini wa Tanzania unatengenezwa na wasimamizi wa raslimali kwa sababu ya tamaa

steven mshumbusi's profile picture
steven mshumbusi1 year ago

Tanzania umasikin wake unatengenezwa hii nchi ina madin aridhi nzuri maji safi .. inakuwa je masikin

Sylvester🇰🇪's profile picture
Sylvester🇰🇪1 year ago

Dah yani unasikiliza nondo mpaka unasema huyu kweli ni mtu smart yani point zote za msingi Boda ni nyingi sana na zinapiga kazi sana jee SERIKALI haijawahi fikiria hiki alichokisema jamaa au ndo wanakausha tuu .

salum salum's profile picture
salum salum1 year ago

Moja kati ya watu tangu siku ya kwqnza anaukataa umasikini mpka leo 🔥🔥

Solar Heavy's profile picture
Solar Heavy1 year ago

the drop on this is wild

Dume Jeuri's profile picture
Dume Jeuri1 year ago

Umaskini wa watanzania ni sababu ya watanzania wenyewe

Statistician InnocentXXII's profile picture
Statistician InnocentXXII1 year ago

Kuna jamaa wana akil sanaa

baraka edson's profile picture
baraka edson1 year ago

🫡

technician Master's profile picture
technician Master1 year ago

Mmh kwenye Wasira hapo nd kmalz

Mzee wa Content's profile picture
Mzee wa Content1 year ago

TATIZO NI UELEWA WA MTU MMOJA MMOJA TZ KUNA WATU WAJINGA SANAAA

Related Videos