正在加载视频...
视频加载失败
Dakika 7 za kimasta sana hizi.✌🏾🫵🏾
10 条评论

Nimesikiliza mpaka mwisho aisee 🙌 Nafurahi sana mwizi akikamatwa! Juzi Mdogo wangu aliibiwa Simu akiwa Chuo, alihangaika Na polisi wakaipata sema Mwizi bado anatafutwa🙌

Mkuu habar sorry naomba Msaada ndugu sativa mama angu amelazwa hapa general hospital Dodoma shida ni kuna maji kifuani pia na Kama yanausaa wakimtoa

mwizi mwenyewe nae alikua hajielewi, sio kazi yake itakua aliingiwa na tamaa tu ad akaiba

Inahitajika laki moja na elfu 25k lakini mi Mpaka sasa Nina elfu 73k naomba Kama utaguswa na chochote mama angu aendelee kupatiwa matibabu 0742974692 napegwa venance 🙏

Uyo sio mwizi😂 au watu hawaangalii movie za Ulaya😂 unakubali meet up na umeiba simu?

Huyo mwizi namba D

Je tusio na iphone hiyo cloud twafanyaje sasa🧐🤔

Ww sativa mbona story ndefu hv?🤔🤔🤔

unakosa Amani kisa 600K

@Medy_Nassoro Gift mrangi unamkumbuka!?
