Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Dhana ya Mke mmoja imetokea wapi? Link:
44,319 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
11 Kommentare

Nimesikiliza Interview ya Huyu jamaa. Nilichogundua ni kuwa Jamaa anaamini kuwa Mungu Yupo,Kitu ambacho hana imani nacho ni mitindo na njia zilizoanzishwa na watu wabaya,namna ya kufuata muongozo wake kwa maslahi ya kidunia. Unyenyekevu ndio njia sahihi ya kumuendea Mungu.

Unaweza kuta huyu Chionda ndio nabii kaja kuikomboa Africa @EduTalkTz

"kama mtu kapigwa ngumi ANASUBIRI taulo tu " tuko tepetepe

envy of the black man penis 📌

Envy of black men penis😅👐😅

Tumepewa na Mungu yupi sasa wakati haamini

📷 A tough day in the jungle—how does this sloth overcome it? The twist you didn’t see coming

Kabisa ata mitume wengi awakuwa na mke mmoja 💯🤝

Anaweza kusema huna dini ila ukiskiliza maongezi yake bas inaonyesha huyu ni mkiristo kwasabab bibilia ndo inasema suleiman alikuwa na wake hao katika quran suleiman anawake 99 na hakuwa na hawara mpaka hapo inathibitisha iman yake ipo wap.

Nani aliyetuletea story za Suleiman na wake zake... Kitabu ichocho tunachotumia kujitetea ndio kitabu ichocho tunachosema wanatumia kutukandamiza...

Ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ujinga ⛑️🧠⛑️
