Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
KESI YA BINTI KULAWITIWA, YUKO WAPI AFANDE⁉️
51,254 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 10

Naona Sasa baadhi ya waandishi wameanza kuingia kwenye team ya Ukombozi.. Mungu awaongoze na kuwapa ulinzi

@tanpol na @SuluhuSamia tunamtaka huyu Bibieeee Kizi Mkazi Wa Dodoma #HumanRights

Unaelekea Kuzuri mtangazaji wangu,Hyoo ndyoo fulsafa ya Mtangazaji Mkongwe Asiyeogopa Wala kufkiri kupoteza chochote, Fukua Kila Kitu watu tupate Kuvikubali vyombo vyenu

BOMU SOKONI HADISI IKAHAMA. VIPIGO KWA CHADEMA UBAKAJI UKASAHAULIKA. Aisee we kaka umejua kuifanya cku yangu iwe clean

Mambo ni mengi sana hapa chini ya jua🤔😳

Zimbwela hiyo story ya @mohammedali nimeifatilia sana, it was a fantastic investigation

Hongereni sana . Mmeshajua watanzania wanataka nini.

nchi ngumu hii

Naona unakabia juu😁😁😁

Askari wenyew wansjiuliza uliza kamateni uyooo
