正在加载视频...
视频加载失败
Dunia inakimbia sana
11 条评论

.juzii nikamwambia itakuja kuziba pengo la ma judge wa mahakama ambao wana Bias..haya mambo ya judge kuwa na personal feelings kwenye kesi mtuu n mbayaaaa Sanaa..AI Aangekuwa judge leo DR.SLAA! angekuwa Free!

Bado unahitaji watu wayaweke yote hayo kwenye mifumo ili huyo Agentic AI atoe majibu. Tusiogope, tufanye kwa mujibu wa mahitaji yetu. The computer will never have the capacity to think. Never.

Halafu unaangalia homework za watoto wetu, wanapewa maswali ya kuja kumfanyia nyumbani, yanaliza maswali ya majina ya machifu, na methali na aina ya vyombo vya asili vya muziki! Shule za waswahili bado wanadhani kazi ya kichwa ni kutunza kumbukumbu!

Wakati wenzetu wako huko, huku nyumbani ndio kwanza CCM inamteua Wasira aka mzee wa kuuchapa ili aongoze chama kinachoisimamia serikali

- Come Around

Sisi tupo bize na ushindi wa kishindo 🚮

@Eng_Corrosive Tukiendelea kuiendekeza CCM na ma Garbage yake kina Wasira, we are doomed!

Na raia wengi sana wanaenda kukosa ajira kwa kasi kubwa sana. Mikimbizano ni mingi Mangi.

Artificial intelligence AI

Hapa masters au PhD ya IT engineering muhimu sana huko mbele, watoto wenye uwezo wa kusoma sayansi watieni moyo na kuwapa support kubwa sana.Mungu ibariki Tanzania ❤️

It has already reached here.... You can go and look Noble minds on YT.... Just write noble minds Ai...
