Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Dunia ni flat, sio Duara - part 11. Kwako @Exquisite_255

86,097 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

Dr Calipso's profile picture
Dr Calipso1 year ago

@Exquisite_255 Kwenye hili namuunga MKONO 💯 Katikati ya Dunia kuna Magnet that's why Compass in point toward It na always ukiwa una circumnavigate Dunia you always point to magnetic pole.

JOE's profile picture
JOE1 year ago

@Exquisite_255 Huyu jamaa ni tapeli af mnampa air time. Jamaa anawasimulia fictional prose af mnaamini akati ni stori zinatungwa tu na mtu yeyote. Fuck!

SIKONGE's profile picture
SIKONGE1 year ago

@Exquisite_255 Sasa Dunia sawa ni flat je, wapi position ya jua lilipo ? and why usiku na mchana iwe differ kutokana na eneo ? And kivipi difference za seasonal ya eneo Kwa eneo ? ☹️

Solar Heavy's profile picture
Solar Heavy1 year ago

- While The World Sleeps

animal's profile picture
animal1 year ago

@Exquisite_255 @Exquisite254 anasema kila siku Flta ya dunia ni kama chapati vile ama shilingi ikilazwa ni duara lakini ambayo iko flat ya kulazwa Na sio kama mpira Me hii kitu nshaanza kuamini ya flat earth

Pie Poe's profile picture
Pie Poe1 year ago

@Exquisite_255 Kujua conspiracies sio kujua ukweli, Itofautishwe!🤌

Moses's profile picture
Moses1 year ago

@Exquisite_255 Mbingu 7 anazoeleza hapa nadhani ni level za ufahamu,biblia inatumia sana coded language so kuielewa hutegemea na level ya ufahamu wako

Granit's profile picture
Granit1 year ago

@Exquisite_255 Huyu jamaa hata akisema SHETANI ndo mwenyekiti wa CDM sawa tu ataaminiwa

POHI's profile picture
POHI1 year ago

@Exquisite_255 Tecknolojia imekuwa watu wanatoka nje ya Dunia kuitazama sayari ya Dunia kwa nje, kama mtu kutoka nje kuangalia nyumba yake, picha zote zilizopigwa nje ya Dunia zinaonyesha Dunia ni Duara, hicho kitabu anachosema kimeandikwa na mrekani, wamerekani nima binges fiction na proganda

UCHUKUZI NO. 13's profile picture
UCHUKUZI NO. 131 year ago

@Exquisite_255 Alianza vizuri ila huku anakoelekea anaenda kuharibu tuko hapa

Mshamba Classic's profile picture
Mshamba Classic1 year ago

@Exquisite_255 Proof moja wapo ya kuwa dunia duara mwambieni aende baharini/feri aangalie meli ikiondoka wakati inapotea kwanini haipotei yote kwa mara moja badala yake inapotea kidogo kidogo mpk inaishilizia mlingoti wake? Ingekuwa flat ingepotea kwa mara moja

Related Videos

Huyu ni mwanaume na sio mvulana
0:32

Sensitive content

Huyu ni mwanaume na sio mvulana

Sabrina winga

72,342 views • 1 year ago