Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Explained in simple terms…

14,577 views • 2 years ago •via X (Twitter)

9 Comments

Advisor's profile picture
Advisor2 years ago

kampuni ya green resources ltd iliyopo mafinga imeuza carbon credit kuanzia 2011 .. billions of money walipata.. serikali yetu kupitia misitu yake haijaweza kuuza carbon .. ili uuze kuna vigezo vingi sana ambavyo ni changamoto kwa serikali yetu ndio maana hawajauza

Joker's profile picture
Joker2 years ago

ni mpango flan hivi wa short term hela kwa sisi but ni wa kutuacha tuendelee kuwa bara masikini kwa long term

Renatus Joseph's profile picture
Renatus Joseph2 years ago

Kupitia hii video nimejivunza kiurahisi zaidi Kuhusu carbon credit

MABATISunshare's profile picture
MABATISunshare2 years ago

Yes, we have it @CarbonTanzania are among of company practices in Northern Tanzania

Ricci_👑🇹🇿⚖️'s profile picture
Ricci_👑🇹🇿⚖️2 years ago

Nimeelewa Sasa...shukran Dada

Machalee's profile picture
Machalee2 years ago

Wow nimeelewa vyedi kabisa

SiLeNt  LiSteN's profile picture
SiLeNt LiSteN2 years ago

Yes Yes

Brian Kim's profile picture
Brian Kim2 years ago

Very helpful,even myself I was not having this knowledge of carbon credit…thanks Carol

EM 🦁's profile picture
EM 🦁2 years ago

So Tanzania tukiuza carbon credit kwa kutumia misitu yetu sisi tukitaka kujenga viwanda tutanunua wapi hizo credits?? Au ndo itakuwa ukiwa huwezi kununua huruhusiwi hata kujenga viwanda?? 🤔🤔

Related Videos