Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

63,496 views • 1 year ago •via X (Twitter)

11 Comments

SPOTTED HYENAS🦊's profile picture
SPOTTED HYENAS🦊1 year ago

Nikichokua nasema ni hivi kama vipi huyu Mbowe si na waty wake si waondoke kwa pamoja chama iitishe mkutano mkuu na kufanyike uchaguzi wa haraka ili kuziba nafasi za hawa washenzi wanaoondoka, hii dizaini ya kuondoka kimafungu kmmke inakata stim sana, vinyongo kama wanawake shenz

Denice Tumaini (LA)'s profile picture
Denice Tumaini (LA)1 year ago

Hivi Kilatu ndio alikuwa Lawyer wa COVID19 eeh?

M A G I R I's profile picture
M A G I R I1 year ago

Sio alikuwa, ni wakili wao hadi sasa.

Solar Heavy's profile picture
Solar Heavy1 year ago

- The Kingdom

Ng'engeri's profile picture
Ng'engeri1 year ago

Ni kweli inashangaza kuwa loyalities wa Mbowe wanaondoka huku amekaa kimya, kama viongozi wapya akina Lissu na Heche wanakosea awe wa kwanza kuwakosoa na kuwashauri. Nitasikitika Mbowe akiondoka Chadema, chama ambacho amekijenga kwa zaidi ya miaka 30.

Bwoma Jr's profile picture
Bwoma Jr1 year ago

Jamaa kaongea vizuri sana

Sir chandafa's profile picture
Sir chandafa1 year ago

Kama ni hivo basi mbowe ni mtu mbaya Sana, yule baba, is a silent killer mungu tu amuendelee kumtunza but what is going on in chadema now is not a good thing

ASSEY.'s profile picture
ASSEY.1 year ago

Ameeleweka vizuri sana.

Pop's profile picture
Pop1 year ago

Uchaguzi uliisha, kinachopingwa ni mechanisms za NRNE... Usiamini watu wenye vipara masta

Gemini♊️♊️'s profile picture
Gemini♊️♊️1 year ago

Stupid mindset argument, akiongea watakuja na arguments kuwa anamwingilia TAL ambaye ni mrithi wake, kukaa kwake kimya is the best weaponry instruments against those stupid stories like this 💯💯

robiramo's profile picture
robiramo1 year ago

Watu ni wafuasi wa watu na sio wafuasi wa itikadi nimeibeba hiyo

Related Videos