Loading video...
Video Failed to Load
In simple terms!
63,496 views • 1 year ago •via X (Twitter)
11 Comments

Nikichokua nasema ni hivi kama vipi huyu Mbowe si na waty wake si waondoke kwa pamoja chama iitishe mkutano mkuu na kufanyike uchaguzi wa haraka ili kuziba nafasi za hawa washenzi wanaoondoka, hii dizaini ya kuondoka kimafungu kmmke inakata stim sana, vinyongo kama wanawake shenz

Hivi Kilatu ndio alikuwa Lawyer wa COVID19 eeh?

Sio alikuwa, ni wakili wao hadi sasa.

- The Kingdom

Ni kweli inashangaza kuwa loyalities wa Mbowe wanaondoka huku amekaa kimya, kama viongozi wapya akina Lissu na Heche wanakosea awe wa kwanza kuwakosoa na kuwashauri. Nitasikitika Mbowe akiondoka Chadema, chama ambacho amekijenga kwa zaidi ya miaka 30.

Jamaa kaongea vizuri sana

Kama ni hivo basi mbowe ni mtu mbaya Sana, yule baba, is a silent killer mungu tu amuendelee kumtunza but what is going on in chadema now is not a good thing

Ameeleweka vizuri sana.

Uchaguzi uliisha, kinachopingwa ni mechanisms za NRNE... Usiamini watu wenye vipara masta

Stupid mindset argument, akiongea watakuja na arguments kuwa anamwingilia TAL ambaye ni mrithi wake, kukaa kwake kimya is the best weaponry instruments against those stupid stories like this 💯💯

Watu ni wafuasi wa watu na sio wafuasi wa itikadi nimeibeba hiyo
Related Videos
Hedge funds explained in simple terms...
Empire Mindset | Wealth Architect
90,138 views • 5 months ago
