Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Fantastic word!!

86,147 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля Balozi wa Kibondo
Balozi wa Kibondo1 год назад

Utu ni jambo lamsingi: Vyeo havidumu milele

Фото профиля Sheeray Kandili Maulana
Sheeray Kandili Maulana1 год назад

Na kwenye uchaguzi pia wawaze kutoibaga

Фото профиля Mansa Moses(MBWADUME)
Mansa Moses(MBWADUME)1 год назад

Tatizo la watumishi wa umma nao kuwa wafanyabiashara ndio maana nafanya biashara kama mfanyabiashara hathaminiwi

Фото профиля Fred Mwanemile
Fred Mwanemile1 год назад

Well done brother Chingolo,wewe umeongea Kwa utu sana na mungu akubariki sana,tunataka na tuna penda viongozi wanaojali watu wengine nakushukuru kaka Kwa utu wako

Фото профиля Lokasa ya mbongo
Lokasa ya mbongo1 год назад

Daah kasema kwa namna ya utu mno.

Фото профиля D Fellla
D Fellla1 год назад

Hakika tuna taka watu kama Hawa

Фото профиля Msaranga
Msaranga1 год назад

Kuliko kusubiri matako ya watu.... Kwani hakuna sheria zinazomlinda mzabuni dhidi ya madhila kama haya...!?

Фото профиля Frank Kim
Frank Kim1 год назад

Kuna watu wapo kwenye vyeo ila hawajui kwanini wapo hapo

Фото профиля El_3
El_31 год назад

Neno. Viki stafu hua vina haha sana. UBAYA UBWELA

Фото профиля MAVAZI CLOTHING
MAVAZI CLOTHING1 год назад

Key word is ‘laana’ nchi zetu zina kila kitu lkn bado tupo nyuma.

Похожие видео