Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

86,147 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

Balozi wa Kibondo's profile picture
Balozi wa Kibondo1 year ago

Utu ni jambo lamsingi: Vyeo havidumu milele

Sheeray Kandili Maulana's profile picture
Sheeray Kandili Maulana1 year ago

Na kwenye uchaguzi pia wawaze kutoibaga

Mansa Moses(MBWADUME)'s profile picture
Mansa Moses(MBWADUME)1 year ago

Tatizo la watumishi wa umma nao kuwa wafanyabiashara ndio maana nafanya biashara kama mfanyabiashara hathaminiwi

Fred Mwanemile's profile picture
Fred Mwanemile1 year ago

Well done brother Chingolo,wewe umeongea Kwa utu sana na mungu akubariki sana,tunataka na tuna penda viongozi wanaojali watu wengine nakushukuru kaka Kwa utu wako

Lokasa ya mbongo's profile picture
Lokasa ya mbongo1 year ago

Daah kasema kwa namna ya utu mno.

D Fellla's profile picture
D Fellla1 year ago

Hakika tuna taka watu kama Hawa

Msaranga's profile picture
Msaranga1 year ago

Kuliko kusubiri matako ya watu.... Kwani hakuna sheria zinazomlinda mzabuni dhidi ya madhila kama haya...!?

Frank Kim's profile picture
Frank Kim1 year ago

Kuna watu wapo kwenye vyeo ila hawajui kwanini wapo hapo

El_3's profile picture
El_31 year ago

Neno. Viki stafu hua vina haha sana. UBAYA UBWELA

MAVAZI CLOTHING's profile picture
MAVAZI CLOTHING1 year ago

Key word is ‘laana’ nchi zetu zina kila kitu lkn bado tupo nyuma.

Related Videos