正在加载视频...
视频加载失败
Fantastic word!!
10 条评论

Balozi wa Kibondo1 年前
Utu ni jambo lamsingi: Vyeo havidumu milele

Sheeray Kandili Maulana1 年前
Na kwenye uchaguzi pia wawaze kutoibaga

Mansa Moses(MBWADUME)1 年前
Tatizo la watumishi wa umma nao kuwa wafanyabiashara ndio maana nafanya biashara kama mfanyabiashara hathaminiwi

Fred Mwanemile1 年前
Well done brother Chingolo,wewe umeongea Kwa utu sana na mungu akubariki sana,tunataka na tuna penda viongozi wanaojali watu wengine nakushukuru kaka Kwa utu wako

Lokasa ya mbongo1 年前
Daah kasema kwa namna ya utu mno.

D Fellla1 年前
Hakika tuna taka watu kama Hawa

Msaranga1 年前
Kuliko kusubiri matako ya watu.... Kwani hakuna sheria zinazomlinda mzabuni dhidi ya madhila kama haya...!?

Frank Kim1 年前
Kuna watu wapo kwenye vyeo ila hawajui kwanini wapo hapo

El_31 年前
Neno. Viki stafu hua vina haha sana. UBAYA UBWELA

MAVAZI CLOTHING1 年前
Key word is ‘laana’ nchi zetu zina kila kitu lkn bado tupo nyuma.

