正在加载视频...

视频加载失败

86,147 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)

10 条评论

Balozi wa Kibondo 的头像
Balozi wa Kibondo1 年前

Utu ni jambo lamsingi: Vyeo havidumu milele

Sheeray Kandili Maulana 的头像
Sheeray Kandili Maulana1 年前

Na kwenye uchaguzi pia wawaze kutoibaga

Mansa Moses(MBWADUME) 的头像
Mansa Moses(MBWADUME)1 年前

Tatizo la watumishi wa umma nao kuwa wafanyabiashara ndio maana nafanya biashara kama mfanyabiashara hathaminiwi

Fred Mwanemile 的头像
Fred Mwanemile1 年前

Well done brother Chingolo,wewe umeongea Kwa utu sana na mungu akubariki sana,tunataka na tuna penda viongozi wanaojali watu wengine nakushukuru kaka Kwa utu wako

Lokasa ya mbongo 的头像
Lokasa ya mbongo1 年前

Daah kasema kwa namna ya utu mno.

D Fellla 的头像
D Fellla1 年前

Hakika tuna taka watu kama Hawa

Msaranga 的头像
Msaranga1 年前

Kuliko kusubiri matako ya watu.... Kwani hakuna sheria zinazomlinda mzabuni dhidi ya madhila kama haya...!?

Frank Kim 的头像
Frank Kim1 年前

Kuna watu wapo kwenye vyeo ila hawajui kwanini wapo hapo

El_3 的头像
El_31 年前

Neno. Viki stafu hua vina haha sana. UBAYA UBWELA

MAVAZI CLOTHING 的头像
MAVAZI CLOTHING1 年前

Key word is ‘laana’ nchi zetu zina kila kitu lkn bado tupo nyuma.

相关视频