Loading video...
Video Failed to Load
Gen Z mahakamani.
41,342 views • 2 years ago •via X (Twitter)
10 Comments

Pio Mponzi2 years ago
Hiki ni kizazi hatari na hawaogopi chochote na majumbani mwetu tunao kibao. Kizazi hiki kwa Kisungu wanasemaga "They have nothing to loose but all to gain."

Fedrick Mwinuka2 years ago
Dah haw gn z wana watu intelligent san yan

Frank Mlawa2 years ago
Mwamba kabisa uyu jamaa dah Kenya wametuzi mbaaaaaaaaali sana

Mbowe Must Go 2Day2 years ago
Watanganyika elimu imetuponza

Nicki Massawe2 years ago
Asee jamaa kamwaga point mpaka mwanaseheria kaogopa

switcher2 years ago
Daaaah tanzania yangu when ? Tutafika lini huku aisee

Ludovic Sebastian. CO2 years ago
Nilikua sijasikiliza vzr hadi mwsho kumbe alimwaga upupu mwishoni

Benedicto Mnubi2 years ago
We need this spirit.

Reality_check2 years ago
@Vitalis_Fusi Mwamba ana hasira sana

kimbesa.2 years ago
Walifata mkumbo sahzi wapo pekee yao. Hapo lazma wapigwe mvua ya maana
Related Videos
0:50
Sensitive content
Gen z jameni
Boniface
85,158 views • 1 year ago
