Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
HAKUNA UCHAGUZI.
121,992 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
10 Kommentare

Kama copy au macho yangu ! Maana karatasi ni ya rangi why hiyo ni black ⚫️ and white!? Sometime ni propaganda maana wote ccm na chadema ni wahuni tu sio watu wa kuamini

@SuluhuSamia @SuluhuSamia @SuluhuSamia hongera Mama kwa maendeleo, mchapa kazi bora, Rais bora Afrika mpaka masanduku ya kura yanakitii chama chako,hongera kwa demokrasia makini na 4 R, hongera waziri wako msimamia uchaguzi wa TAMISEMI ambae ni mme wa mtoto wako, family affairs

Ulipaswa kutuonyesha sura za hawa watu kwanini unaficha sura zao ? Kitalaamu tunaelewa maana ya propaganda

Kwa hiyo unajua leo haya ndio matokeo ya malidhiano

Chadema na @freemanmbowetz tuliwaambia wakat ule msikubali maridhiano kwasababu haki haiombwi wakadanganywa na upepo wa wakat ule tumefika hapa kwasababu yenu mngekomaa hawa watu wangetoa tu mbona.

leo akifa mwana ccm mimi siwezi kuhzunika hata kidogo haya mambo hakuna mwana ccm ambaye habariki , najua kifo ni haki yangu ila huu ni ujinga unafanywa na ccm

Yaani hasira mpaka unahisi kupasuka @ikulumawasliano nanyie jana mmesema utakuwa huru na haki, haki ndo hii? Tumechoka tumechoka @ortamisemitz ni upuusi gani huu unaendelea

Upuuzi mtupu, nilijua tu haya mambo ya kishenzi

Huu ushetani umekithiri hapa bongo asee hii ni aibu

@Rubibi_idrisa Uchaguzi Umevurugwa,
