Loading video...
Video Failed to Load
Hawa jamaa wapuuzi sana🤣🤣🤣
35,477 views • 1 year ago •via X (Twitter)
10 Comments

mhd1 year ago
Kuna huyo ana ngozi kama ya kenge amesema “Alusha” mwisho akasema “herro” December 😃

SIR🕷1 year ago
Ila ni kweli hizo maeneo hapana aise😁

🅜︎🅦︎🅐︎🅖︎🅘︎🅣︎🅞︎🏀1 year ago
🤣🤣🤣🤣

Gibrim1 year ago
Amell in dar😀😀 nilishatimba apo mara 2, shida sio msosi shida ni vinywaji

26'1 year ago
😅😅

🅜︎🅦︎🅐︎🅖︎🅘︎🅣︎🅞︎🏀1 year ago
🤣🤣🤣

House 🔌 of electronics 🇵🇸🇹🇿1 year ago
Stay home safe ma Nika watchu you talking about...stop engine

@kaka_pepsi1 year ago
Kuna jamaa alinikuta nimevua shati akaanza kucheka nikamuuliza unacheka nini akasema mwanangu ungekua na tatto tu ungefanana na wale jamaa wa stop engine ,what you talking about

AwathyM1🤌1 year ago
@balati93 wasikie hao 😂

Power Set1 year ago
Oya, hapo kwenye LAMADA mbona kama jamaa kaacha kuigiza, katumia sauti yake ya utotoni 😆
