Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Hii haikubaliki kabisa ✍🏼

179,676 views • 3 years ago •via X (Twitter)

9 Comments

Che Guevara's profile picture
Che Guevara3 years ago

Hakika mwalimu amekosea kuchapa miguuni, angeadhibu makalio. Lakini tunapokemea walimu tukemee na idara zingine zinazofanya ukatili kama huu ikiwemo polisi wanaoua kabisa lakini husikii makemeo haya✍️

G3rd™⚖️'s profile picture
G3rd™⚖️3 years ago

Bakora kwa Mtoto ni #Hakiyake, hata mie huwa nachapa Wanangu. Uchapaji aina hii si nzuri lakini pia hata sie tulichapwa sana unaingiza kichwa chini ya miguu,mikono inavuta kichwa kwa nyuma unakula stiki za kutosha. Ukijikuna tu umefuta ila Mitandao ina Nguvu ya kufuta ukatili huu

Baba Ivan's profile picture
Baba Ivan3 years ago

Naomba serikali imchukukie hatua kali, hiyo siyo adhabu bali ni unyama, huyo mtoto sizani kama ataweza kutembea.. 🤔

SEMA_KWELII's profile picture
SEMA_KWELII3 years ago

Acheni mambo yenu haikubaliki nini? Angali tumetoka huko tumechapwa bakora za kutosha harafu leo unajifanya kuumia. Lengo lenu watanzania mnapenda kusikia huyu mwalimu kasimamishwa au kufukuzwa kazi ndo furaha yenu, acheni kureta taharuki

dady17's profile picture
dady173 years ago

Dah! Nikikumbuka nlipo kuwa shule X pale mbeya o-level tulikua tukichapwa hivi nmelia sanaa ucku huu kwakifupi jaman huko shulen hasa baadhi ya private watoto wanapitia magumu na mazito sanaaMUNGU awatetee2 doh! 😭😭😭😭

MCHAKIZONE's profile picture
MCHAKIZONE3 years ago

Doh...mitandao bhana!!mbona zamani ilkuwa kawaida sana hizi fimbo!!! niliwahi zibuliwa na mwalimu wangu kdogo nikate moto,mpaka leo namshukuru kanisaidia kufika hapa nilipo,watoto wa cku hzi wanadekezwa mno,tujiulze kwanza alfanya kosa gan!!

Privatus Nantekolela's profile picture
Privatus Nantekolela3 years ago

Aliterecord sijui katumia sheria gani ya utumishi wa umma wote wana makosa aliyepiga na aliyerocord

kipipa's profile picture
kipipa3 years ago

Ndo maana unashangaa dogo anakataa shule, mara anadanganya anaumwa kumbe kule shuleni ndo maisha yanavyo enda

TINO's profile picture
TINO3 years ago

Kumchapa mwanafunzi kunasababishwa na ww mbinu zako kufeli na kupelekea kutokukuelewa, hivyo badili mbinu ya kumwelewesha ili akuelewe, uelewa wako wewe mwalimu ni tofauti kbsa na mwanafunzi, ni vile tu mihemuko yako unataka aelewe kwa haraka

Related Videos