Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Hii ndio kauli ya Nchi. #NoReformsNoElection
44,143 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
10 Kommentare

Kuna watu wanasema chadema imekufa😂😂😂👇 watu wanajua kujidanganya

take the journey

cku chadema ikichukua dola ni sikukuu ya kitaifa no reform no election

Hii kauli mbiu yenu inanivunjia ndoa, Ni mwezi sasa huduma sipati, mke wangu ananiambia No reform No service! Reform zenyewe anazotaka sijui nani mastermind wake 😂😂😂

NO REFORM NO ELECTION 🔥🔥🔥

Ma CCM yalizani kumkamata Lissu kutaua Harakati za No reform no Election hwakujua kuwa nje kuna mwamba yupo anapiga spana balaa

Afu anatokea mjinga anakwambia chama kimekufa 🤣🤣🤣

Yesu awatunze kwa ajili ya utukufu wa jina lake🤲🙏

Heche wacha kujidanganya hakuna kauli ya nchi hio nikaula yako na genge lako mwisho wasiku kesho kutwa mnapigwa stop ndio mnapotea kabisa

#NoReformsNoElection
