正在加载视频...
视频加载失败
Huu ni Ukweli au ni uchochezi??😂
50,448 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)
11 条评论

Yosefu baada ya baba yake yakobo kuzeeka,alimchukua na kumpatia malazi,chakula matibabu. Mwanzo 45,9-11 Ruthu aliamia nchi ya mama mkwe wake akafanya kazi kwa bidii ili amtunze, Ruthu1: 1-16 Yesu kabla ya kifo chake alichagua mtu ambae angemtunza mama yake yohana 19:26,27.

Mpumbavu utamjua tu, maandiko yanawatambua wazazi kama mungu wa duniani na wamewekwa rasmi kwenye amri 10 za Mungu. Wapumbavu kama hawa hawakuanza leo tangu miaka hiyo

Anafundisha waumini wasitunze wazazi wao! Wakati huo yeye anaimiza waumini wake watoe sadaka,fungu la kumi,michango na malimbuko!! Kweli kalaghabao na ubozi wako!!

🇺🇸 One Nation, under Trump, Stronger THAN EVER. Are you Trump Tough? 💪Tough T's Here:

Kuna kitu kinaitwa KARMA, this guy should stay woke. Kwa maisha ya waliowengi mlo wa leo ni majaaliwa vipi kuhusu kesho ya uzeeni? Kama yeye yupo kwenye right path as his parents was, asitutukanie wazazi wetu. They've sacrificed a lot for us and it's not a curse to embrace them.

Sisi atuwatunzi wazazi wetu ila tunawapatia sehemu ya mafannikio yetu maana wanastairi baada ya jitihada zao. Wao walipanda kwetu hawakuwekeza kwenye majumba na maduka katika uwezo wao.

Yaani uache kumsikiliza Makamu wa Rais halafu usikilize hiyo takataka kweli?!

Mit 13:22 "Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi; Na mali ya mkosaji huwa akiba kwa mwenye haki" Tutofautishe kuzaa na kulea binadamu na ufugaji wa binadamu. Yaani unalea mtoto ili akikua akusaidie, huo ni ufugaji. Lea yeye ajipate bila kupoteza uwezo wako kujitegemea..

Hamna mchungaji hapa, Hata kama sikusoma Elimu ya dini chuoni(Theology). Ila humu hamna mchungaji.

ukristo bwana ni mtihani

Huyo jamaa yeye ameona hawezi kutunza wazazi wake anatuletea ujinga wake na sisi ili tumfate!! Hatudanganyiki
相关视频
Sensitive content
Anayetengeneza hivi ni nani? Ikiwezekana tupate namba yake tumtumie hata hela ya vocha tu , huu ni ukweli mtupu. Retweet hii viongozi waone
Adventure-360
144,262 次观看 • 2 年前
