Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Huu ni Ukweli au ni uchochezi??😂

50,451 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 11

Фото профиля @mtanganyika
@mtanganyika1 год назад

Yosefu baada ya baba yake yakobo kuzeeka,alimchukua na kumpatia malazi,chakula matibabu. Mwanzo 45,9-11 Ruthu aliamia nchi ya mama mkwe wake akafanya kazi kwa bidii ili amtunze, Ruthu1: 1-16 Yesu kabla ya kifo chake alichagua mtu ambae angemtunza mama yake yohana 19:26,27.

Фото профиля Mtanzania
Mtanzania1 год назад

Mpumbavu utamjua tu, maandiko yanawatambua wazazi kama mungu wa duniani na wamewekwa rasmi kwenye amri 10 za Mungu. Wapumbavu kama hawa hawakuanza leo tangu miaka hiyo

Фото профиля @mtanganyika
@mtanganyika1 год назад

Anafundisha waumini wasitunze wazazi wao! Wakati huo yeye anaimiza waumini wake watoe sadaka,fungu la kumi,michango na malimbuko!! Kweli kalaghabao na ubozi wako!!

Фото профиля Rock Paper Sizzle
Rock Paper Sizzle1 год назад

🇺🇸 One Nation, under Trump, Stronger THAN EVER. Are you Trump Tough? 💪Tough T's Here:

Фото профиля Vitalis Fusi
Vitalis Fusi1 год назад

Kuna kitu kinaitwa KARMA, this guy should stay woke. Kwa maisha ya waliowengi mlo wa leo ni majaaliwa vipi kuhusu kesho ya uzeeni? Kama yeye yupo kwenye right path as his parents was, asitutukanie wazazi wetu. They've sacrificed a lot for us and it's not a curse to embrace them.

Фото профиля MWANASHERIA
MWANASHERIA1 год назад

Sisi atuwatunzi wazazi wetu ila tunawapatia sehemu ya mafannikio yetu maana wanastairi baada ya jitihada zao. Wao walipanda kwetu hawakuwekeza kwenye majumba na maduka katika uwezo wao.

Фото профиля ◇
1 год назад

Yaani uache kumsikiliza Makamu wa Rais halafu usikilize hiyo takataka kweli?!

Фото профиля msakhara
msakhara1 год назад

Mit 13:22 "Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi; Na mali ya mkosaji huwa akiba kwa mwenye haki" Tutofautishe kuzaa na kulea binadamu na ufugaji wa binadamu. Yaani unalea mtoto ili akikua akusaidie, huo ni ufugaji. Lea yeye ajipate bila kupoteza uwezo wako kujitegemea..

Фото профиля Msuku
Msuku1 год назад

Hamna mchungaji hapa, Hata kama sikusoma Elimu ya dini chuoni(Theology). Ila humu hamna mchungaji.

Фото профиля zanzibar used
zanzibar used1 год назад

ukristo bwana ni mtihani

Фото профиля ◇
1 год назад

Huyo jamaa yeye ameona hawezi kutunza wazazi wake anatuletea ujinga wake na sisi ili tumfate!! Hatudanganyiki

Похожие видео