Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Huu ni useng* 🚮🚮🚮🚮

150,624 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 9

Фото профиля MASTER PIZO
MASTER PIZO1 год назад

Mbona waandamaji hao wanasema wanataka HAKI ZAO kwanini unampiga mtu anayedai haki yake Huu ndio upumbavu kabisa

Фото профиля Yakub Talib
Yakub Talib1 год назад

Kikubwa wa natakiwa wafahamu kuwa hakuna utawala duniani uliokabiliana na nguvu ya umma ikabaki madarakani .

Фото профиля Hilda Newton
Hilda Newton1 год назад

Ni kweli

Фото профиля 𝗥𝗶𝗰𝗵𝗮𝗿𝗱 𝗧𝘇🇹🇿
𝗥𝗶𝗰𝗵𝗮𝗿𝗱 𝗧𝘇🇹🇿1 год назад

Itoshe kusema huu muungano uchwara inabidi uvunjwe tu

Фото профиля Zacharia Thomas Obad
Zacharia Thomas Obad1 год назад

Serikali ya CCM haina tofauti na Serikali ya Wakoloni aise. Imagine badala ya kutatua tatizo wao wanakuja na vitisho? Kuandamana ni haki ya raia. Wasitutishe.

Фото профиля wazamzumi
wazamzumi1 год назад

Kumbe hii nchi haiongozwi na raisi Bali hawa waliopata 0 na DV 4? Tulichelewa sana kuwadhibiti hawa wajinga. Tukaitake haki yetu 23

Фото профиля Laizer🐐
Laizer🐐1 год назад

Usenge mwingi sana na huyo mama yao kakaa hapoo kuangali ujinga

Фото профиля VRugaman
VRugaman1 год назад

Ni kwa nini waandaji wa tukio hawajawaambia waigizaji wa maandamano kutumia maneno ya ushari badala ya TUNATAKA HAKI YETU???? Au mimi ndiye sielewi

Фото профиля Livingstone
Livingstone1 год назад

Wanawatisha watu

Похожие видео