Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Huu ni useng* 🚮🚮🚮🚮

150,624 views • 1 year ago •via X (Twitter)

9 Comments

MASTER PIZO's profile picture
MASTER PIZO1 year ago

Mbona waandamaji hao wanasema wanataka HAKI ZAO kwanini unampiga mtu anayedai haki yake Huu ndio upumbavu kabisa

Yakub Talib's profile picture
Yakub Talib1 year ago

Kikubwa wa natakiwa wafahamu kuwa hakuna utawala duniani uliokabiliana na nguvu ya umma ikabaki madarakani .

Hilda Newton's profile picture
Hilda Newton1 year ago

Ni kweli

𝗥𝗶𝗰𝗵𝗮𝗿𝗱 𝗧𝘇🇹🇿's profile picture
𝗥𝗶𝗰𝗵𝗮𝗿𝗱 𝗧𝘇🇹🇿1 year ago

Itoshe kusema huu muungano uchwara inabidi uvunjwe tu

Zacharia Thomas Obad's profile picture
Zacharia Thomas Obad1 year ago

Serikali ya CCM haina tofauti na Serikali ya Wakoloni aise. Imagine badala ya kutatua tatizo wao wanakuja na vitisho? Kuandamana ni haki ya raia. Wasitutishe.

wazamzumi's profile picture
wazamzumi1 year ago

Kumbe hii nchi haiongozwi na raisi Bali hawa waliopata 0 na DV 4? Tulichelewa sana kuwadhibiti hawa wajinga. Tukaitake haki yetu 23

Laizer🐐's profile picture
Laizer🐐1 year ago

Usenge mwingi sana na huyo mama yao kakaa hapoo kuangali ujinga

VRugaman's profile picture
VRugaman1 year ago

Ni kwa nini waandaji wa tukio hawajawaambia waigizaji wa maandamano kutumia maneno ya ushari badala ya TUNATAKA HAKI YETU???? Au mimi ndiye sielewi

Livingstone's profile picture
Livingstone1 year ago

Wanawatisha watu

Related Videos