Sensitive content
This media may contain sensitive content.
Загрузка видео...
Не удалось загрузить видео
Huyu demu ni TAPELI😁😁👇🏾
78,226 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)
Комментарии: 9

Kudadeki niliwahi kuagizwa mahindi mnadani nikakutana na hawa jamaa nikasema ngoja nizizalishe....kilichonikuta ilibidi nitoreke nyumbn na safari yangu ya kutafuta maisha ikaanzia hapo

Wala sio tapeli ni mmoja wao lkn pia hivo vyote vina chakundu, ila vina sehemu mbuli za kufunguka kwenye chekundu na kusiko na chekundu so mchezeshaji anaamua ti afungue wapi

Huyo Ni mwenzao

Hivyo vinafunguka pande zote,km hapo vikifunguliwa kutoka kulia vina line na vikifunguliwa kutokea kushoto havina line and vice versa,,na huyo anaekula ni mwenzao.

Nilikutana nao hao jamaa Chimala Mbeya kwenye mnada. Wakat naenda kufanya manunuzi nikasikia HII HAPA HII double pesa yako.. Aiseee ziliisha zote

Mimi niliwah agizwa Madiaba na bibi angu 28k nikatapeliwa😁

Hapo wapo wengi tuu, hicho kidude cha ushindi huwa kina funuka pande 2. Pande ya ushindi na pande nyingine ya kukosa. Mwenzao akichagua icho kidude cha ushindi wanafunua side ya ushindi ila wewe ng’ombe ukichagua hicho kidude cha ushindi wanakufunulia sehemu ya kukosa

Mi ndio nachezesha hizi michezo🤣

😂😂
