Sensitive content

This media may contain sensitive content.

Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Huyu demu ni TAPELI😁😁👇🏾

78,226 просмотров • 1 год назад •via X (Twitter)

Комментарии: 9

Фото профиля SANKARA
SANKARA1 год назад

Kudadeki niliwahi kuagizwa mahindi mnadani nikakutana na hawa jamaa nikasema ngoja nizizalishe....kilichonikuta ilibidi nitoreke nyumbn na safari yangu ya kutafuta maisha ikaanzia hapo

Фото профиля City Hunter
City Hunter1 год назад

Wala sio tapeli ni mmoja wao lkn pia hivo vyote vina chakundu, ila vina sehemu mbuli za kufunguka kwenye chekundu na kusiko na chekundu so mchezeshaji anaamua ti afungue wapi

Фото профиля FREE MIND
FREE MIND1 год назад

Huyo Ni mwenzao

Фото профиля TheGame
TheGame1 год назад

Hivyo vinafunguka pande zote,km hapo vikifunguliwa kutoka kulia vina line na vikifunguliwa kutokea kushoto havina line and vice versa,,na huyo anaekula ni mwenzao.

Фото профиля 13th
13th1 год назад

Nilikutana nao hao jamaa Chimala Mbeya kwenye mnada. Wakat naenda kufanya manunuzi nikasikia HII HAPA HII double pesa yako.. Aiseee ziliisha zote

Фото профиля Jako Builders
Jako Builders1 год назад

Mimi niliwah agizwa Madiaba na bibi angu 28k nikatapeliwa😁

Фото профиля PEBBY
PEBBY1 год назад

Hapo wapo wengi tuu, hicho kidude cha ushindi huwa kina funuka pande 2. Pande ya ushindi na pande nyingine ya kukosa. Mwenzao akichagua icho kidude cha ushindi wanafunua side ya ushindi ila wewe ng’ombe ukichagua hicho kidude cha ushindi wanakufunulia sehemu ya kukosa

Фото профиля Gomez
Gomez1 год назад

Mi ndio nachezesha hizi michezo🤣

Фото профиля Johnson Swai
Johnson Swai1 год назад

😂😂

Похожие видео