Sensitive content

This media may contain sensitive content.

Video wird geladen...

Video konnte nicht geladen werden

Zur Startseite

Huyu demu ni TAPELI😁😁👇🏾

78,229 Aufrufe • vor 2 Jahren •via X (Twitter)

9 Kommentare

Profilbild von SANKARA
SANKARAvor 2 Jahren

Kudadeki niliwahi kuagizwa mahindi mnadani nikakutana na hawa jamaa nikasema ngoja nizizalishe....kilichonikuta ilibidi nitoreke nyumbn na safari yangu ya kutafuta maisha ikaanzia hapo

Profilbild von City Hunter
City Huntervor 2 Jahren

Wala sio tapeli ni mmoja wao lkn pia hivo vyote vina chakundu, ila vina sehemu mbuli za kufunguka kwenye chekundu na kusiko na chekundu so mchezeshaji anaamua ti afungue wapi

Profilbild von FREE MIND
FREE MINDvor 2 Jahren

Huyo Ni mwenzao

Profilbild von TheGame
TheGamevor 2 Jahren

Hivyo vinafunguka pande zote,km hapo vikifunguliwa kutoka kulia vina line na vikifunguliwa kutokea kushoto havina line and vice versa,,na huyo anaekula ni mwenzao.

Profilbild von 13th
13thvor 2 Jahren

Nilikutana nao hao jamaa Chimala Mbeya kwenye mnada. Wakat naenda kufanya manunuzi nikasikia HII HAPA HII double pesa yako.. Aiseee ziliisha zote

Profilbild von Jako Builders
Jako Buildersvor 2 Jahren

Mimi niliwah agizwa Madiaba na bibi angu 28k nikatapeliwa😁

Profilbild von PEBBY
PEBBYvor 2 Jahren

Hapo wapo wengi tuu, hicho kidude cha ushindi huwa kina funuka pande 2. Pande ya ushindi na pande nyingine ya kukosa. Mwenzao akichagua icho kidude cha ushindi wanafunua side ya ushindi ila wewe ng’ombe ukichagua hicho kidude cha ushindi wanakufunulia sehemu ya kukosa

Profilbild von Gomez
Gomezvor 2 Jahren

Mi ndio nachezesha hizi michezo🤣

Profilbild von Johnson Swai
Johnson Swaivor 2 Jahren

😂😂

Ähnliche Videos