Loading video...

Video Failed to Load

Go Home

Huyu NABII kanisa lake liko wapi?

41,683 views • 1 year ago •via X (Twitter)

10 Comments

Mr Health💊💉's profile picture
Mr Health💊💉1 year ago

Hakika Asilima 90 za watoto wa @tanpol Ni matatizo, Hili na Liunga Mkono... Laana ni mbaya sana, Usiombe ikutafune....🫵

theophiltz's profile picture
theophiltz1 year ago

au father angu mdogo nae alifanya haya maana life halijawahi kutulia toka akiwa kazin hadi leo yani kila anachofanya ni majanga + watoto

Chelsea's profile picture
Chelsea1 year ago

Alishasema magufuli atakufa kwa mafumbo wakat wa jiwe.

Baba Voss's profile picture
Baba Voss1 year ago

Huwa siamini sana haya mambo ya manabiii sijui ila kuna hawa wachungaji ukimskiza akiwa anaongea unaona huyu mbona kama sio tapeli alafu anaongea kama mtu mwenye upako flani..anyway jamaa unaweza mskiza ata kwa masaa kumi anaongea kwa mamlaka sana

Mlowe, Thadei's profile picture
Mlowe, Thadei1 year ago

Sisi ngoja tumshitakie Mungu aliye juu. Naomba viongozi wa dini mtangaze kufungua na kuomba juu ya mambo ya fuatavyo: i)Kwaajili ya waliouawa ii)Waliotekwa(kupotezwa) iv)Kufungwa kwa kuonewa

Mr ubuntu's profile picture
Mr ubuntu1 year ago

Mbezi beach

fm_☄'s profile picture
fm_☄1 year ago

Hii ni sahihi. Take time to research it uone uhalisia

Mtanzania Kaka's profile picture
Mtanzania Kaka1 year ago

Its a simple karma

Garnet's profile picture
Garnet1 year ago

Mm Muislam, mambo kama haya ya kupeana ukweli ndio nataka kuyasikia kutoka katika dini zote na sio uchawa na kupigana majungu

Atanat Willian's profile picture
Atanat Willian1 year ago

Demu wa mwisho nilidate mtoto wa askari. hmm, tuyaache. ni majanga. Anyway hawa maaskari wanaoteka na kuua wanadhani hii dunia ni yao na Samia na mapete ndo Mungu wao. Haya. Yetu macho.

Related Videos