正在加载视频...
视频加载失败
Huyu NABII kanisa lake liko wapi?
10 条评论

Hakika Asilima 90 za watoto wa @tanpol Ni matatizo, Hili na Liunga Mkono... Laana ni mbaya sana, Usiombe ikutafune....🫵

au father angu mdogo nae alifanya haya maana life halijawahi kutulia toka akiwa kazin hadi leo yani kila anachofanya ni majanga + watoto

Alishasema magufuli atakufa kwa mafumbo wakat wa jiwe.

Huwa siamini sana haya mambo ya manabiii sijui ila kuna hawa wachungaji ukimskiza akiwa anaongea unaona huyu mbona kama sio tapeli alafu anaongea kama mtu mwenye upako flani..anyway jamaa unaweza mskiza ata kwa masaa kumi anaongea kwa mamlaka sana

Sisi ngoja tumshitakie Mungu aliye juu. Naomba viongozi wa dini mtangaze kufungua na kuomba juu ya mambo ya fuatavyo: i)Kwaajili ya waliouawa ii)Waliotekwa(kupotezwa) iv)Kufungwa kwa kuonewa

Mbezi beach

Hii ni sahihi. Take time to research it uone uhalisia

Its a simple karma

Mm Muislam, mambo kama haya ya kupeana ukweli ndio nataka kuyasikia kutoka katika dini zote na sio uchawa na kupigana majungu

Demu wa mwisho nilidate mtoto wa askari. hmm, tuyaache. ni majanga. Anyway hawa maaskari wanaoteka na kuua wanadhani hii dunia ni yao na Samia na mapete ndo Mungu wao. Haya. Yetu macho.

