正在加载视频...
视频加载失败
Huyu ndiye nabii aliyebaki
10 条评论

Fikiria huyu ni Rais anaeongoza watanzania zaidi ya mil.61 mwenye fikra za aina hii🤔🤔

@godbless_lema yuko mbele ya muda,inahitaji tu akili timamu kuona ivi vitu kabla ya muda. Ni vile tu watu wanajizima data kisa itikadi na maokoto/teuzi bas

Kipindi icho vipindi vya bunge havinipiti najua jana kilikuwa maswali na majibu leo bajeti ya wizara kesho bajeti ya wizara kivuli... life has changed alot sijui ata majina ya wabunge, majimbo watokayo wala ratiba ya bunge

The truth was aired well,few of us knew what did it mean,it is clear that now if anyone of us listens him now will come into the truth that what was said now is happening Ndugai said it also before resigned "Truth lives" Now it's a story to tell once upon the time there was a man

Unaweza adi kulia yan ilaaa ccm wanatukosea sanaaa

Chadema wote njaa tu nchi hamna mpinzani Wa kweli....

Ninaimani kubwa mwamba atarudi tena Bungeni #katibampyanisasa

Hii mashine ingine Akili kubwa Hana uchawa yaani yy unakula za uso...CHADEMA Ni next level

Hiki ni chuma kwl kwel

Hivi inawezekanaje Arusha hakuna stand mpya ya mabasi?
相关视频
Huyu ndiye amiri Jeshi Mkuu! Anasema; habari za utekeji ni vi-drama drama tu.💔
NTOBI
19,441 次观看 • 2 年前
