正在加载视频...
视频加载失败
Huyu wa wapi tena?😃😃
9 条评论

modise ismail1 年前
Hawa ni wa kuwakamata chain nzima na kuwaweka ndani. Yaani kuanzia msanii, producer, meneja, director wa video hadi boda alompeleka studio wote tia ndani😂

ATR Mtiling’ati1 年前
Ana hoja akikaza atafika mbali

𝗝𝗮𝗺𝗮𝗮 𝗠𝘂𝘂𝘇𝗮 𝗗𝗮𝘄𝗮1 年前
Kwamba wakina Mondi na Kiba walianzia huku??😃😃😃

Michael Mwanakatwe mkoma1 年前
Hivi hapa mwenye kosa ni nan meneja wa msanii? Au director wake😤😤😤🚶

ɱTαɳɠαɳყιƙα❄1 年前
huyu jamaa anajua sanaaaa😂

Dr Calipso1 年前
😂😂 oya mi sitaki anipende eti watanzania wote nawapenda anazingua huyu jamaa miyeyusho 😂

Sabrina🌷1 年前
😂😂😂🙌🏾

It all started in 1948🇹🇿🇵🇸1 年前
Hiki kipaji kikubwa sana, asikikizwe. Akienda kwa kina Salama na Rita anatoboa🤣

Pips_champagne1 年前
@gwaxy19
