Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Ibada za mwenyezimungu Hazichezewi
17,062 Aufrufe • vor 1 Jahr •via X (Twitter)
11 Kommentare

Sheikh akemea wanaoenda Makah na kufanya Show Off.. Pia akemea Matajiri wanaowalipia watu hao kwenda Makkah na kufanya hayo Msikilize.... Video kwa Comments 👇

Kilichopelelekea Sheikh akasema haya ni hii video ya Mwijaku

Sema jamaa alikosea sana hapa binafs kaitoa makkah maana

Kwani uyu shekh ni ndugu yake rayvan

Kiukweli kuna mambo ya ajabu ila hili ni la ajabu sana,halikuwa sahihi

Sure upo sahihi kabisa

kweli Baraza la waislam lazima watoe Tamko juu ya hili kabla ya sikukuu ya Eddy,alichokifanya ni kitu kibaya ,unaleta mzaa sehemu alipozikwa Mtume

@MwijakuBurton kazingua

So mtu anatakiwa awe mnyenyekevu anaposhika hilo jiwe? Nadhani kila mtu aheshimu imani ya mwenzake nyie si huwa mnawacheka wanaokanyaga mafuta? Hiki ni nini sasa so hapo wanaposhika ni nyumba ya mungu? Ni Mungu au ni nini? Why wanasema swala kwa jiwe?

@MwijakuBurton uje ujifunze na kaa ukijua hata chawa huwa zinakufa 🙏

Mi sio muislam lakini sikupenda nilicho ona
