Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ila CCM matapeli sana,Shenzi sanaa.

127,754 просмотров • 2 лет назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля L.I.F.E of D.E.O🚀
L.I.F.E of D.E.O🚀2 лет назад

Sasa hapo kikifungwa Mabehewa 😅😁 Kitakimbia kama Joashi Onyango 🤣🤣🙌🚀

Фото профиля Chifu Ndazi Mzindakaya
Chifu Ndazi Mzindakaya2 лет назад

Nimeangalia utofauti nimejikuta nalia sanaaa mamaee

Фото профиля Boniface Jacob
Boniface Jacob2 лет назад

😭😭😭😭😭😭

Фото профиля Awesu Ally (Mkubwa)
Awesu Ally (Mkubwa)2 лет назад

Kwenye hilo daraja imepita kama upepo😆 ila kule nyikani sasa😁😄

Фото профиля Awesu Ally (Mkubwa)
Awesu Ally (Mkubwa)2 лет назад

Nimecheka sana na kuirudia mara kwa mara🤣 speed niloiyona hapo na ile ya pili ni vitu viwili tofauti

Фото профиля Milestone~Otana🇹🇿
Milestone~Otana🇹🇿2 лет назад

Hili si jambo la kucheka kaka, Nchi yetu inachezewa huku wananchi tukichekacheka hovyo. Mimi napata hasira sana na hivi vitu!, Natamani siku nipate uwezo niigeuze hii nchi kichwa chini miguu juu ili watanzania wengine wasio na hasira kama mimi wapate akili 😡 😡.

Фото профиля BIDEN
BIDEN2 лет назад

Hashtag iwe Nimelia sana 😅

Фото профиля mawazo tofauti
mawazo tofauti2 лет назад

Huyo jamaa anaeshangaa sasa, hiyo ikitoka dar kwenda Moro na Abood itoke dar kwenda Moro atakaewai ni Abood, tren ya mwendo Kasi ni safari ndefu mno na inachosha kwa huu mwanzo

Фото профиля Louis
Louis2 лет назад

Imagine this particular individual alishawai kuwa mayor....how can you compare something which is fully functioning and something else which is still under trial🤣

Фото профиля Diblo Dibala
Diblo Dibala2 лет назад

Hapoo badoo hawajakiwekwa behewa ...Yaani Kitakuwa kama kina fanya Jogging

Похожие видео