Video wird geladen...
Video konnte nicht geladen werden
Ila hii nchi๐๐ฟ๐๐
60,517 Aufrufe โข vor 2 Jahren โขvia X (Twitter)
10 Kommentare

Yupo sahihi maana mkono una enzems wa kumeng'enya chakula na ndio maana chakula kilichopikwa kinawahi kuchacha endapo ukikigusa kwa mkono

Astaghafilillah! Mbona kama ana hoja vile. Asipuuzwe huyu ๐๐

Sayansi inasema wazi Hakuna Enzymes Zozote mikononi. Enzymes ziko mdomoni. Ule kwa mkono, kijiko, au miguu umeng'enyaji wa chakula unaanzia Mdomoni. Huyu atakuwa dk wa tiba za asili

Yuko sahihi

Ndevu kama katuni la mario

@KigumeR @safarihamidpro wazee hizo slide ndo zile mlikataa kunitumia

Cheki alivyo na sharubu zake

Hivi kwann watu wa media wanawapa nafasi watu kama hao wasiokuwa na taaluma!? Wanaongea vitu vya hovyo tu, yaani wanatia doa sekta ya afya

Mtu akishakua na visharubu kama Kambale mwenye madeni lazima awe na shida mahala๐

Ushauri wake ni mzuri ila sisi tunaopenda SUPU ndo tunaumiza kichwa tunaanzaje kula kwa mkono
