Загрузка видео...

Не удалось загрузить видео

На главную

Ila hii nchi🙌🏿😂😂

60,517 просмотров • 2 лет назад •via X (Twitter)

Комментарии: 10

Фото профиля Fundi Bomba
Fundi Bomba2 лет назад

Yupo sahihi maana mkono una enzems wa kumeng'enya chakula na ndio maana chakula kilichopikwa kinawahi kuchacha endapo ukikigusa kwa mkono

Фото профиля Sulwa Kayandema
Sulwa Kayandema2 лет назад

Astaghafilillah! Mbona kama ana hoja vile. Asipuuzwe huyu 😎😎

Фото профиля 09Vato
09Vato2 лет назад

Sayansi inasema wazi Hakuna Enzymes Zozote mikononi. Enzymes ziko mdomoni. Ule kwa mkono, kijiko, au miguu umeng'enyaji wa chakula unaanzia Mdomoni. Huyu atakuwa dk wa tiba za asili

Фото профиля Abasi
Abasi2 лет назад

Yuko sahihi

Фото профиля Charles Gavachu
Charles Gavachu2 лет назад

Ndevu kama katuni la mario

Фото профиля Dr. Abdul
Dr. Abdul2 лет назад

@KigumeR @safarihamidpro wazee hizo slide ndo zile mlikataa kunitumia

Фото профиля HUNTER NKG Jr GAA ♉
HUNTER NKG Jr GAA ♉2 лет назад

Cheki alivyo na sharubu zake

Фото профиля MedKali MD
MedKali MD2 лет назад

Hivi kwann watu wa media wanawapa nafasi watu kama hao wasiokuwa na taaluma!? Wanaongea vitu vya hovyo tu, yaani wanatia doa sekta ya afya

Фото профиля MoKatulla✍🏾
MoKatulla✍🏾2 лет назад

Mtu akishakua na visharubu kama Kambale mwenye madeni lazima awe na shida mahala😂

Фото профиля Granit
Granit2 лет назад

Ushauri wake ni mzuri ila sisi tunaopenda SUPU ndo tunaumiza kichwa tunaanzaje kula kwa mkono

Похожие видео