ๆญฃๅœจๅŠ ่ฝฝ่ง†้ข‘...

่ง†้ข‘ๅŠ ่ฝฝๅคฑ่ดฅ

Ila imagine Swizbeats asingekuwepo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ

35,404 ๆฌก่ง‚็œ‹ โ€ข 1 ๅนดๅ‰ โ€ขvia X (Twitter)

11 ๆก่ฏ„่ฎบ

Latto ๐• ็š„ๅคดๅƒ
Latto ๐•1 ๅนดๅ‰

Babu Tale, Leo Kapigiwa Simu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Kathibitisha kweli, Waliitwa Waende Chumbani kuangalia Movie,๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Msikilize.... Video kwa Comments๐Ÿ‘‡

AG24SEVEN ็š„ๅคดๅƒ
AG24SEVEN1 ๅนดๅ‰

Apigiwe na Swizz Beats kwanza

Kamamaa ็š„ๅคดๅƒ
Kamamaa1 ๅนดๅ‰

Na Mondi alifikaje mpaka akashuhudia vitu hawezi taja ๐Ÿคฃ

Clone_OG ็š„ๅคดๅƒ
Clone_OG1 ๅนดๅ‰

Na mbona Mondi mlisema mlingia chumbani sasa hv mnaruka...Mondi ndio alithibitisha walifanya mambo ambayo walishindwa kurekodi...Mondi alipakwa wese period

Ibrahim Ahmed ็š„ๅคดๅƒ
Ibrahim Ahmed1 ๅนดๅ‰

Tunashukuru muheshimiwa kwa kutuhakikishia kua yaliwakuta mazito kwa didy sababu kukaribishwa chakula sio kitu cha kushindwa ku post kama alivyo sema mondi mlipigwa pipe buanaaaa hamkutoka salama mondi alisema mengine sio ya kupost sasa chakula cha kushundwa post?

The_Muffin_Man๐ŸŸข ็š„ๅคดๅƒ
The_Muffin_Man๐ŸŸข1 ๅนดๅ‰

Hii issue nadhan ina mipango michafu tu nyuma yake ... Wala sidhn km izo point ni za kweli!

baba Tamali ็š„ๅคดๅƒ
baba Tamali1 ๅนดๅ‰

Wangepita sema mbna wameaanza kujitetea

The chosen one โ˜๏ธโ™ฅ๏ธ ็š„ๅคดๅƒ
The chosen one โ˜๏ธโ™ฅ๏ธ1 ๅนดๅ‰

watu si wajinga buanaa๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„

Tamim Kifungu ็š„ๅคดๅƒ
Tamim Kifungu1 ๅนดๅ‰

Ukisikia maongezi haya yanatofautiana na yale walioongea mwanzon baada ya kutoka kwa Did walifurahia na kusema yaliofanyika pale hawawezi post walifika studio wakajifunza vingi sjui nini walimuacha mh nje Hili ni janga letu sote tufunike kombe mwanaharam apite tusitafute ๐Ÿ‘€๐Ÿ‘€

Chief Madaha๐Ÿ˜ท ็š„ๅคดๅƒ
Chief Madaha๐Ÿ˜ท1 ๅนดๅ‰

๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿšฎ

Aloyce Simbeye ็š„ๅคดๅƒ
Aloyce Simbeye1 ๅนดๅ‰

Jamaa sababu anapenda kujitapa akaona aseme walifanya vitu ila hawawezi kupost. Kumbe hawakupata moment yoyote ile na Diddy. Ashukuriwe Switz maana baada ya kula tu wangeliwa.

็›ธๅ…ณ่ง†้ข‘