正在加载视频...
视频加载失败
Ila Magomeni!! 🤣
115,151 次观看 • 1 年前 •via X (Twitter)
10 条评论

KONTENTI yoyote ukiiona imeshutiwa na camera yoyote zaidi ya CCTV jua ni scripted a.k.a maigizo period

Walikuwa Wanashoot Hao Nilimuona Na Hashimu Ibwe Hapo

Kaole

💪 Merica, we're taking it back. 💯 You like Trump, you know it, time to show it. ✅ T's for Trump here:

😀nishawahi porwa simu nikiwa nimesimama kituo cha daladala pale mlimani city, sam nujoma rd. Tangu hapo sichati nikiwa kituo cha daladala au kuongea na simu Nikifanya hivyo naishika simu kwa nguvu sana

Mbona kama naona kamera upande wa pili.....

Hakuna mwizi wa simu aka nyata toka huko kote mpka kwenye gari tena akatumia upande wambele labda kama wanashoot

Kiuhalisia mademu wanaibiwaga simu kizembe sana

Sema wanaume wa dar wasenge Sana kmmmmke sasa hapo angefungua mlanga kumzuia jamaa

🤣🤣🤣kmmk
