Video yükleniyor...
Video Yüklenemedi
Ila wakenya wamevurugwa 😂😂
38,041 görüntüleme • 3 yıl önce •via X (Twitter)
10 Yorum

Ndo siasa unazotaka ziwe Tz hizi bro au sio??🤣🤣 Ukijichanganya kuongea hivi Tz umeisha😀, wakati wao wapo lockdown sisi tuliendelea na productions, pia waTz sio waoga ila tuna misingi fulani ya kuheshimiana na utu, kuwe na uhuru ila usiwe wa kiwango hichi

Hapo kinachokufarahisha ni kipi sasa!!yani chadema u support kikundi chochote duniani kinachopingana na serikali, mbowe yuko chamwino anavuta shisha

Bongo leta huo uduanzi watakufurahisha

Haaahaaaaaaa

Tuna mengi ya kujifunza

😂😂😂hivi Kuna maeneo Kenya bangi imeruhuswa??🤣🤣🤣🤣

ivi hii ni ndio democrasia??? hapana kwa kweli hata mie sifurahishwi na uongozi wa awamu ya sita ila siwezi toa kauli ya namna iyo haya ni matusi na sio hoja wala mashiko... tunasifiaga ujinga but Afrika ina vingi vya kujifunza kwetu sie waTanzania, tuacheni unafiki.

Hahahaa

Bongo unapotea hautaonekana milele 😂😂😂

Hii ikitumika hata Tanzania itakomesha hili janga la ushoga TRUST ME.
